Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Usiku ulikuwa mrefu jana baada ya mechi..agrr! Lampard na penalt yake!!..Eniwei, We're still the Best!!
 
Hodi hodi umu, nimeleta majamvi na turubai nasikia kuna msiba hapa lol


Poleni wakuu manda , eglypz,bj ,mfarisayo na wengine kama nimewasahu ndio mpira huo , safari bado ndefu

AW, acha tu kama alivyosema Mbu naona bundi kahamia huku!!
Tuone mbele mana safari ndefu...
 
Manchester United imefungwa kwasababu refa alikuwa akiwabeba wachezaji wa Chelsea waliocheza rafu za wazi.Mfano David Luiz alimchezea rafu mbaya Chicharito mbele ya refa ajabu hata kadi ya njano hakupewa baadaye alimchezea rafu Rooney lakini tena refa hakutoa kadi nikadhani labda refa kasahau kadi nyumbani kwa mshangao wa wengi ilipofika zamu ya Vidic kadi ikitolewa !.Penalty ya Chalsea nayo nikichekesho kingine mcmechi kubwa kama ya jana refa makini kamwe hawezi kutoa penelty ya kipuuzi nanma ile ni ajabu makosa ya wachezaji wa Chalsea hayaoni kabisa sijui wanataka nini .Watashangaa mwezi May bingwa ni Man pamoja na kukandamizwa kote.

Huu ni mwaka wa tatu mfululizo Chalsea inabebwa na marefari nashangaa Wacha1 & co hawaoni kila siku wanaishadadia Man ??????.


Pole sana mkuu naona majonzi yako. I really feal for you guys usikate tamaa mwambie Furngie aongezee unene wa bahasha ooops brown envelops khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee na yule Clutteburg arudishwe haraka, au MNOKO Webber akisaidiwa na rafiki yake mkuu Michael Deon waje waokoe jahazi naona wengi hawawapendi khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee to the final frontier ... .... ..



Hapana wakuu kateni rufaa sheria za FIFA zitawalinda ... ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeee




Usiku ulikuwa mrefu jana baada ya mechi..agrr! Lampard na penalt yake!!..Eniwei, We're still the Best!!

Wewe uliambiwa hama timu bado unawang'ang'ania mashetani wekundu shauri yako .... .... .... Wezi hao kama rais flani?

AW, Wacha tu kama alivyosema Mbu naona bundi kahamia huku!!
Tuone mbele mana safari ndefu...


Emirates ..... .... wapo vijana wa Arsenal ... ..... .... kama kawa ... ....
 
<p></p>
<p>&nbsp;</p>

Niko mkuu, jana nakubali tumechezea kichapo, ila we put our head up na ku focus next game.

BTW i iwsh you guys you noticed the ref' controversial decisions against us, hopeful next time mjue hata kama huwa 'tunapewa! feva na awa waungwana pia kuna siku huwa wanatunyonga. Kwaio ngoma droo au sio?

Wacha1 booooy! sema mkuu?, jana umepiga shoti ngap za grants kusherekea?
powa powa mkuu, sio mbaya kama huyu refa hakuwa upande wenu manake wengi huwa wanamuogopa mzee fergie. Fergie akilalamika kidogo tu kuhusu refa FA wanachukua hatua lakini makocha wengine wakilalamika FA HAWAFANYI KITU.Ndio maana marefa wengi huwa wanawaogopa, si uliona rooney alimpiga kipepsi bila sababu mchezaji wa wigan refa akapeta? kama mchezaji wa wigan angemfanyia rooney vile ngoma yake ingekuwa ngumu.


Ligi inanoga mkuu tusonge mbele.
 
fergie_wiley_516x350_60898a.jpg


Mzee wa vitisho huyu hapa .... .....




Mchezaji wa 12


[/QUOTE]


Wewe ni shabiki wa mpira tu wacha waone wenyewe.QUOTE]

Brown envelopes kama kawa ... .... ...... .... kesi ya RA unampelekea JK ... .... kazi ipo hapo Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Yaani Chelsick the mafioso team watoe msaada! ... .... kweli kufungwa kubaya kila timu inacheza mechi 38 sasa chijui huo msaada ni wa aina gani khe khe kheeeeeeeeeeeee nicheke mie. Chacha timu zote zinazotumia nguvu ya giza .... ..... zinakutana chijui nani atatoa mpunga zaidi ya mwenzike


khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Nasikia hii weekend hata JT amekwenda kumsaidia mzee kuuza unga ili waweze kutimiza bonge la burungutu hata Lamps alionekana kwenye Supermrkets kadhaaa akifanya kazi yake ..... ...... ..yote ni kwa ajili ya ushindi then one Peasant loser anasema awasaidie Gunners .... .. khe khe kheeeee thubutu awasaidie mafioso wakusanye zaidi.





BTW Poleni wakuu wa Manure nasika Clattenburg kafanya vitu vyake leo ... .... SHAURI YENU mficha maradhi kifo humfichua ... .... .... Rooney hawezi kabisa kuadhibiwa kwanza ni English boy na FA ni England org. ambao wanapata bahasha kila mwezi kazi mnayo mwaka huu tutaona huko kubebwa kwenu kutawafikisha wapi?

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Wajomba wamechacha wamekuja juu harusini wanasema mwali hatoki khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

JT na Lamps walifanya kazi ya ziada kukusanya mpunga wa kutosha.
 
article-1362070-0D6DCC84000005DC-330_468x353.jpg



Vidic remonstrates with Atkinson after his sending off

but he will now miss the crucial trip to Anfield

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 
article-1362070-0D6DCC84000005DC-330_468x353.jpg



Vidic remonstrates with Atkinson after his sending off

but he will now miss the crucial trip to Anfield

Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Arsenal kama vile jana wamebeba kombe la CALLING wanavyofurahi khekhe eeee heeeee
 
Kichapo ni kichapo tuu...subirini kingine kinafuata jumamosi..:hand:
 
Tuko pamoja....ila hii ndoa itadumu kweli? manake kibao kitageuka siku si nyingi na mume ataolewa....l.o.l

Rev.....una raha sana...!!!!! bora tu upotee kidogo kule kwetu!!!!!!

Kule niko jioni ya leo vijana wa Las Vegas watafanya mambo!

Leyton Orient
 
hahaa hakuna siku nimelala usingizi mwanana kama mwanangu gaude kama leo...hahaaaa ...Manu wameumia kweli kweli khaaa
 
Manchester United imefungwa kwasababu refa alikuwa akiwabeba wachezaji wa Chelsea waliocheza rafu za wazi.Mfano David Luiz alimchezea rafu mbaya Chicharito mbele ya refa ajabu hata kadi ya njano hakupewa baadaye alimchezea rafu Rooney lakini tena refa hakutoa kadi nikadhani labda refa kasahau kadi nyumbani kwa mshangao wa wengi ilipofika zamu ya Vidic kadi ikitolewa !.Penalty ya Chalsea nayo nikichekesho kingine mcmechi kubwa kama ya jana refa makini kamwe hawezi kutoa penelty ya kipuuzi nanma ile ni ajabu makosa ya wachezaji wa Chalsea hayaoni kabisa sijui wanataka nini .Watashangaa mwezi May bingwa ni Man pamoja na kukandamizwa kote.

Huu ni mwaka wa tatu mfululizo Chalsea inabebwa na marefari nashangaa Wacha1 & co hawaoni kila siku wanaishadadia Man ??????.



Mkuu nakubali kwamba penalty ilikuwa soft, lakini ndio mpira huo you have to move on. Kama ukichungulia kila kitukioa na kuwa fair then uwe tayari kusema kwamba Rooney hakustaili hata kucheza hio mechi ya jana kufuatia tukio lake la last week. Decisions siku nyingine zinakwenda upande wako siku nyingine kwa mwenzio, ndio mpira huo.
 
Arsenal kama vile jana wamebeba kombe la CALLING wanavyofurahi khekhe eeee heeeee

Hivi nyie si mlitolewa kwenye hilo kombe? Tena asubuhisubuhi tu khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee mngekuwa hamkushiriki then hiyo hadithi nyingine.



Manchester United imefungwa kwasababu refa alikuwa akiwabeba wachezaji wa Chelsea waliocheza rafu za wazi.Mfano David Luiz alimchezea rafu mbaya Chicharito mbele ya refa ajabu hata kadi ya njano hakupewa baadaye alimchezea rafu Rooney lakini tena refa hakutoa kadi nikadhani labda refa kasahau kadi nyumbani kwa mshangao wa wengi ilipofika zamu ya Vidic kadi ikitolewa !.Penalty ya Chalsea nayo nikichekesho kingine mcmechi kubwa kama ya jana refa makini kamwe hawezi kutoa penelty ya kipuuzi nanma ile ni ajabu makosa ya wachezaji wa Chalsea hayaoni kabisa sijui wanataka nini .Watashangaa mwezi May bingwa ni Man pamoja na kukandamizwa kote.

Huu ni mwaka wa tatu mfululizo Chalsea inabebwa na marefari nashangaa Wacha1 & co hawaoni kila siku wanaishadadia Man ??????.

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


article-0-0D6D82FF000005DC-47_634x469.jpg


article-1362240-0D6DFAD4000005DC-273_634x404.jpg


Brown envelopes zinatakiwa zijae kama za Chelsick ...

khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Referee Atkinson got the big calls wrong
Referees are remembered for their big decisions in big games. Unfortunately Martin Atkinson got some wrong on Tuesday night and they cost Manchester United. Atkinson failed to deliver consistency in similar incidents, the basic requirement for match officials. In the first half, Manchester United were denied a penalty when John Terry handled a shot from distance. Although his hands were by his side, the ball travelled a long way and Terry ensured that the ball did not pass - a clear offence. Nothing was given. However, when Yury Zhirkov took the opportunity to go over Chris Smalling's outstretched leg, Atkinson had no hesitation in awarding the home team a spot kick. It was soft, but just about the correct call. An even clearer example came when David Luiz deliberately tripped Wayne Rooney off the ball - a clear cautionable offence. As he had already been cautioned, Luiz should have been dismissed. Nemanja Vidic was not afforded such tolerance later in the game.
 
hakuna wengine kama chama la ukweli MAN U Forever meeeeeeeeeeeeennnnnnnnnn!!!!!!!!!!!!! kuteleza siyo kuanguka mashabiki wote wa ukweli.... tuko pamoja kama kawa hakuna kitu kinaharibika ndani ya chama la ukweli...... HAIL MANCHESTER UNITED!!!! :wink2:
 
The Following 2 Users Say Thank You to Mbu For This Useful Post:

Ab-Titchaz (Today), Wacha1 (Today)



Ni macho yangu mabovu/PC yangu inanichakachua au?, Huyu ni Ab Titchaz kamgongea senks Mbu au?..

Karibu sana mkuu, unaonekana after kutuchapa?
 
Back
Top Bottom