Last time man utd kufungwa kama hivi walibounce back na kuchukua treble, hope lvg airudishe 4-1-4-1 huu mfumo mpya wameuzoea.
Mashabiki kuweni na subira msiwe kama man city na chelsea fan wanaofukuza fukuza tu makocha,
Nzi where are you, baba ukuje tukusikie mawazo yako
Mpaka we umepanic hii ni shiiida....ila nikwambie kitu
Amini nachosema na yakuingie akilini hata kama ni mazito
zile enzi (era ya Fergie) za kuwachakaza wapinzani wenu, kuwa serious tittle contenders kila msimu zimepita....You come to understand that Fergie was Unbeliavable, Legend manager mi sio manure lakini nasema yule babu hatari
mnapojaribu kuexpect alichoacha ndo kiendelee ndo mtakapopata stress za kufa mtu, Guys relax hiki kipindi ni kama Transition baada ya mafanikio ya kukata na shoka.....Liverpool wamepita huko nao mpaka kesho wanateseka tuuu
Fear Factor is gone timu pinzani haziwaogopi kabisa, everthing is changing so fast
Take it my friend thou ni Bitter
CC: Nzi afu kakimbia huyu
Ha ha ha....mashabiki wa #ManUnited tulikuwa tumeshachukulia poa makombe (take for granted)...na SAF alitu-spoil sana...sasa ni ukweli mchungu (na nimekuwa nikisema humu) kwamba kupata stability baada ya kuondokewa na kocha aliyekaa kwenye timu karibu miaka 30 siyo jambo la kitoto....ndiyo maana mimi siamini katika kufukuza makocha...nilisema hivyo wakati wa DM (leo kuna watu wanalinganisha LvG na DM, na kusema bora DM!!) na ninasema wakati huu wa LvG. Timu inahitaji kujengwa ili kuwa stable, uzuri katika soka la leo (mpira pesa) ni kununua tu wachezaji wazuri na kuwa-supplement na home-grown players, basi unapata timu ya ushindi....
Ngoja tuendelee kuona hapa itakavyokuwa...
Real Madrid have scored as many goals in
90 minutes today as Manchester United in
their last 11 league games.
philosophy
Duh! Hapa Mbona Mourinho kaokota embe chini ya mnazi, alisemaga ndoto yake ni kuwa longterm coach wa Manu baada ya Fergie!I can confirm LVG is to be replaced by
Jose Mourinho in the next 48 hours. ( duncane castle)
Please be true
Duh! Hapa Mbona Mourinho kaokota embe chini ya mnazi, alisemaga ndoto yake ni kuwa longterm coach wa Manu baada ya Fergie!
Nina uhakika kama hizi ni habari za kweli, Mourinho ataisogeza Manu!
Hiyo haiwezi kutokea kwasasa. Hapo atapewa Jose Mourinho kwa sharti la kuwatumia wasaidizi waliopo ili Giggs apewe baada ya miaka 3 hivi.
Mpaka sasa sioni sababu ya kumtimua LVG zaidi ya watu kupanic
Wacha awe sacked tu kitaeleweka mbele kwa mbele...
Mpaka sasa sioni sababu ya kumtimua LVG zaidi ya watu kupanic
Kwa hii performance ni ngumu kumaliza top 4, huu ulikuwa msimu wa kupigania ubingwa
Ku sack sio solution....mwaka wa pili huu mna makocha wawili
Liver wameshafukuza sana makocha mpaka kesho wako Unga
Asee haya tupo hapa, ila kumbuka nilichokwambia kuwa Zama zimepita zimepita, so sasa wawe makini hii hire and Fire itakula
#LVGIN