Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mkichomoa inatoka na mavi.

Kwi kwi kwi kwi kwi nilikua natafuta saini yako humu ili nicheke.....

Duh ENZO we kiboko.....

Wapi Nonda alete full uchambuzi wa kufungwa wazee wa Futuhi?
 
Last edited by a moderator:
Mhhh Chelsea ipi ya kumfunga Leicester huyu?

"Amini amini nakuambia itakua rahisi kwa JWTZ kuipiga USA vitani hadi Obama aka surrender kuliko kwa Chelsea kuifunga Leicester ugenini"

Kwenda kule wewe..... Leicester City nakwenda kuwapiga vibaya..... Utakua wapi nije niangalie mpira na wewe?
 
Kwenda kule wewe..... Leicester City nakwenda kuwapiga vibaya..... Utakua wapi nije niangalie mpira na wewe?

Mm nipo kwangu Ikwiriri!
Njoo na everlenk niwafungie samaki uduvi mrudi Dar muwafanye kitoweo

Unapoingia katikati ya Jiji la Leicester unakumbana na bango kubwa sana juu ya highway yao linasomeka:
"Jamie Vardy score whenever he want"
 
Last edited by a moderator:

Kooooooh koooooh koooh
 
Dada Evelenk philosophy bado haijakaa vizuri ila next week philosophy itafanya vizuri tena kama jana
 
Last edited by a moderator:
Chicharito. 👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾
 

Attachments

  • 1449981447948.jpg
    20 KB · Views: 206
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…