Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unashauri nini kifanyike mkuu?

Dah wachezaji hawajitumi .... sikumbuki mara ya mwisho niliona Utd tulipata shot on target zinazofika 3 katika mechi moja. Barca , Bayern wanamiliki mpira sana na wanatengeneza nafasi za kufunga nyingi sisi ni kinyume

Wacha wakaze hivyo hivyo angalau ila duh!!!! Mpaka macho yananiuma

Hatari sasa hii wana Man Utd wanaona afadhali wapate hiyo point moja lol
 
Damian Rooney Young wameiuwa Man Utd.LVG anakazi sana na hii Timu tunashuka nafasi ya nne kesho
 
Ila mpira unatia hasira wajameni khaaa! Uefa hamna matumaini huku nako tunachechemea aaargh
 
Ila mpira unatia hasira wajameni khaaa! Uefa hamna matumaini huku nako tunachechemea aaargh

Hahhahhahha cheka tu uongeze siku za kuishi mbona mi naona season hii afadhali kuliko last season,japokuwa tunajikongoja tutafika salama tu.
 
Back
Top Bottom