P pachanya JF-Expert Member Joined May 20, 2012 Posts 2,064 Reaction score 2,266 Nov 7, 2015 #41,021 rubaman said: Ebana huu mpira wenu utakuwa unawapa BP mnatokea hapa mkiwa na uhakika hamtausumbua mioyo yenu. 1 attempt on target at 43 minute Click to expand... Hakuna tofauti ya timu ya Moyes na hii ya Van Gaal uwanjani...Bora Moyes hakuchezea hela za usajili kama Van.
rubaman said: Ebana huu mpira wenu utakuwa unawapa BP mnatokea hapa mkiwa na uhakika hamtausumbua mioyo yenu. 1 attempt on target at 43 minute Click to expand... Hakuna tofauti ya timu ya Moyes na hii ya Van Gaal uwanjani...Bora Moyes hakuchezea hela za usajili kama Van.
Ziroseventytwo Platinum Member Joined Mar 27, 2011 Posts 9,151 Reaction score 17,006 Nov 7, 2015 #41,022 pachanya said: Man Isipobadilika na kutengeneza nafasi za kufunga naona ugumu wa kupata nafasi 4 za juu Click to expand... Ndugu yangu pachanya salama lakini? Kitambo kweli, ckuoni kule kwetu kwa mabuluda. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
pachanya said: Man Isipobadilika na kutengeneza nafasi za kufunga naona ugumu wa kupata nafasi 4 za juu Click to expand... Ndugu yangu pachanya salama lakini? Kitambo kweli, ckuoni kule kwetu kwa mabuluda.
DonDonald JF-Expert Member Joined Feb 14, 2011 Posts 2,542 Reaction score 2,741 Nov 7, 2015 #41,023 rubaman said: Ebana huu mpira wenu utakuwa unawapa BP mnatokea hapa mkiwa na uhakika hamtausumbua mioyo yenu. 1 attempt on target at 43 minute Click to expand... Lol Bado tuna imani na timu yetu na "philosophy" ya kidachi Ila hili suala la kuwa na possession kubwa linataka kuwa kama ARSENAL ya zamani
rubaman said: Ebana huu mpira wenu utakuwa unawapa BP mnatokea hapa mkiwa na uhakika hamtausumbua mioyo yenu. 1 attempt on target at 43 minute Click to expand... Lol Bado tuna imani na timu yetu na "philosophy" ya kidachi Ila hili suala la kuwa na possession kubwa linataka kuwa kama ARSENAL ya zamani
DonDonald JF-Expert Member Joined Feb 14, 2011 Posts 2,542 Reaction score 2,741 Nov 7, 2015 #41,024 Yes Man Utd 1
K Konaball JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 2,949 Reaction score 1,940 Nov 7, 2015 #41,025 Duh ata update imekuwa ngumu au ndio philosophy ya LVG maana ata Old TRAFORD imekuwa kimya ingawa Man wanaongoza
Duh ata update imekuwa ngumu au ndio philosophy ya LVG maana ata Old TRAFORD imekuwa kimya ingawa Man wanaongoza
DonDonald JF-Expert Member Joined Feb 14, 2011 Posts 2,542 Reaction score 2,741 Nov 7, 2015 #41,026 Dakika ya 75 Utd 1 - WBA 0 Dah wametukosa
xYz07 JF-Expert Member Joined Apr 13, 2015 Posts 4,077 Reaction score 5,918 Nov 7, 2015 #41,027 rubaman said: GGMU wameshinda kwa possessions. Click to expand... Naona mmetia kambi,
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 Nov 7, 2015 #41,028 Leo siangalii mechi kabisa.
K Konaball JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 2,949 Reaction score 1,940 Nov 7, 2015 #41,029 LVG hizo sub zake mhh sijui katumwa aje kuiuwa Man
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,820 Nov 7, 2015 #41,030 Rooney kutoka na kuingia Herrera nadhani kocha amechelewa sana, rooney anavunja wenzake ari.
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,820 Nov 7, 2015 #41,031 Van gaal asipoangaliwa vizuri atayafanya ya Morinyo hivi karibuni
Waseme JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 2,611 Reaction score 4,119 Nov 7, 2015 #41,032 Mata 2
DonDonald JF-Expert Member Joined Feb 14, 2011 Posts 2,542 Reaction score 2,741 Nov 7, 2015 #41,033 Safi sana Utd Utd 2
Mfilisti JF-Expert Member Joined Sep 24, 2015 Posts 3,727 Reaction score 19,465 Nov 7, 2015 #41,034 pachanya said: Hakuna tofauti ya timu ya Moyes na hii ya Van Gaal uwanjani...Bora Moyes hakuchezea hela za usajili kama Van. Click to expand... una uhakika? 🙄
pachanya said: Hakuna tofauti ya timu ya Moyes na hii ya Van Gaal uwanjani...Bora Moyes hakuchezea hela za usajili kama Van. Click to expand... una uhakika? 🙄
mtr96 JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 247 Reaction score 200 Nov 7, 2015 #41,035 updates wakuuu
Waseme JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 2,611 Reaction score 4,119 Nov 7, 2015 #41,036 Hili jukwaa limepoa sana siku hizi, wakongwe mko wapi?? Nzi Belo,Mfarisayo....warembo wa jukwaa everlenk na cute b Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Hili jukwaa limepoa sana siku hizi, wakongwe mko wapi?? Nzi Belo,Mfarisayo....warembo wa jukwaa everlenk na cute b
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,820 Nov 7, 2015 #41,037 Mimi ni mdau lakini Man U inaboa...tuwe wakweli tu
E el swaga Member Joined Nov 7, 2015 Posts 14 Reaction score 1 Nov 7, 2015 #41,038 Hayo ndo mambo tunayohitaj nashabk wa man utd... Magoli tu sio possesion ya timu