Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ngoja tuwaangalie madogo leo
 

Attachments

  • 1446059171540.jpg
    42.6 KB · Views: 31
GGGMU Eeh Mungu tusaidie tusitoke kweny huu mchuano kama majiran zetu...
 
Huu uzi umefutwa kama matokeo ya uchaguzi zanzibar?? Wapi wadau mtupe updates???
 
Hivi LIKE zimefichwa wapi? Mbona sioni kwangu lakini wengine inaelekea wanazo.
 
Maajabu kama na nyie mtatolewa kama sisi na Chelsea. Anyway, hili kombe ni la watu ambao mmetoka kapa miaka ya miwili mitatu iliyopita.. ahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…