Woyooooooooooooooo........my baby depay thank yuu so much......duuuuuuuuuuuuh hurereeeeeeeeeeeeeeee.
Wakuu nipo sema mjue nini...leo jumamosi afu dizain kama mrs depay ni flower kwenye hiyo harusi ila pamoja sana..
Leo sijui kafichwa wapi binti huyu nimemsaka kila mahali lakini holaa hapa nimetuma makamandoo wangu wamsake kila mahali.... cute b weeeeee shemeji kafanya mambo huku.....
Leo wale watu na gundu zao wamezisafisha...depay kaifungia Manchester united goli la kwanza kwenye EPL na Rooney kafunga pia goli moja akiwa amepokea pasi kutoka kwa antony martial
Matokeo ni
Man u 2 -0