lonewolf ranger
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 476
- 149
Degea kashasepaa????????????
Km hii ilivyo bomba?
Km hii ilivyo bomba?
![]()
Wape vidonge vyao watavinywa tu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nimepitia facebook post kuhusu kuondoka kwa Chicharito kwenye page ya Manchester United. Kati ya comments 100, 80 wanasema LVG Out.
"LVG would sell his father & tell his mother it was a process"
Yaani watu wanaandika bana acha kabisa!!! Leo nimeamua kusoma Btn lines nifute stress za Swans, Huko FB na Twitter MUFC wana kazi leo, nimeiona hii nayo imenichekesha sana,
"LVG would sell his father & tell his mother it was a process"
Yaani watu wanaandika bana acha kabisa!!! Leo nimeamua kusoma Btn lines nifute stress za Swans, Huko FB na Twitter MUFC wana kazi leo, nimeiona hii nayo imenichekesha sana,
"LVG would sell his father & tell his mother it was a process"
LVG alibana juu ya kuuzwa kwa DDG kaachia mwenyewe. Sasa mnapata third hand gk navas
Yaani watu wanaandika bana acha kabisa!!! Leo nimeamua kusoma Btn lines nifute stress za Swans, Huko FB na Twitter MUFC wana kazi leo, nimeiona hii nayo imenichekesha sana,
"LVG would sell his father & tell his mother it was a process"
LVG alibana juu ya kuuzwa kwa DDG kaachia mwenyewe. Sasa mnapata third hand gk navas
hahahahaaa, hii transfer ya leo imeibua mengi sana, kuna mwingine kaandika eti lile katuni LA manchester (fred the red) eti nalo linaenda kwa mkopo west brome, Ed nae kawa loaned out kwenda man city.