Pole mtani ndiyo raha ya mpira ningekua karibu ningekupa leso .... Ligi bado haijachanganya mjipange sept 12 maana tutawapa tena maumivu ..... Nakuoneaje huruma ingawa unajikaza
Mtani it is a fake results in Mournhio's Voice........Mtani tushaolewa na Swansea wenziyo tuite tu baba mbili moko......maana three times matokeo ni haya haya tushajikubali Swansea ndo wajanja wetu......ila this time OT tutavunja ndoa karibu sana siku hiyo......
Hahhahahahha mtani mimi ni mgonjwa lakini nina afadhali naenda hata kwa Mangi kujinunulia panadol wewe uko ICU kabisa unapumulia Oxygen, mashine ikizima tu nishakupoteza.....lol
Hahhahahahha mtani mimi ni mgonjwa lakini nina afadhali naenda hata kwa Mangi kujinunulia panadol wewe uko ICU kabisa unapumulia Oxygen, mashine ikizima tu nishakupoteza.....lol