Leo kazingua cjui kashalewa yale maneno ya Van Gaal juz na goli mbil alizofunga.......halafu anacheza kizembe sana, kivivuvuvi hiv......cjui mdo anajiona staa au vip, kingine anasahau hii n EPL.....anaomba fouls mpk anakera!
Nimepita kutoa salam za hongera kwa mashetani. EPL tyaam!
Aisee mafun wamekinukusha huko Rooney akatwe
Aisee mafun wamekinukusha huko Rooney akatwe
Nimepita kutoa salam za hongera kwa mashetani. EPL tyaam!
Hubby, clean sheet bado mpz wanguuu.........Asante kwa pongezi.....j3 nitakuja kukichungulia......m
..
Leo ilikuwa ni siku ya draw, hongera kwao Crystal Palace na Bournemouth kwa kubeba point zote tatu.
Striker shidaa winger mbovu katikati haiko Sawa kivile nachoweza washauri jipimeni mkikutana na watu kama man city au Arsenal
Leo ilikuwa ni siku ya draw, hongera kwao Crystal Palace na Bournemouth kwa kubeba point zote tatu.