Ngoja tumuone tena,sisi sasahivi shida ni striker kuliko kitu chochote kile safu yetu ya ulinzi imeimarika sana, mtani nawe wacheza lini na nani nisafishe hapa matarumbeta yangu na ngoma kabisaaa....lol
Ngoja tumuone tena,sisi sasahivi shida ni striker kuliko kitu chochote kile safu yetu ya ulinzi imeimarika sana, mtani nawe wacheza lini na nani nisafishe hapa matarumbeta yangu na ngoma kabisaaa....lol
Inabidi tusiruhusu kufungwa.
Kwamfano, mechi ijayo tukafungwa 2-0 inamaana GD itakuwa 0 which is not healthy.
We should maintain as many cleansheets as possible.