Sawa. Game za kwanza zinakuwa na pressure kubwa sana...pia tulikuwa na debutants wanne kwenye timu, hawa nao wanakuwa na pressure kuonyesha kuwa timu haikukosea kuwasajili..
Ebu tuone baada ya games 5 hivi, na kama Rojo akirudi na timu ikacheza wachezaji wanne katika backline, ndipo angalau tutapata mwanga.