JOAQUEM
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 2,020
- 1,673
Ndio jezi aliyokuwa anaitumia akiwa southampton ndio maana kaamua kushift kutoka 3 mpaka 23....Imekuwaje Luke Shaw ameachia jezi na. 3 na kuchukua 23? na namba 2 inamsubiri Ramos?
Alipojiunga na Man u jezi hiyo ilikuwa inavaliwa na Clevery