Hawa wetu hawa.....bado wanajifunza Kugongeana wakati sie wale mamido pale kati wanadonoa....Yaani kama AW akisajili Kipa wa Ukweli tu uhakika utaongezeka kaka.........
After a goalless first half, Man Utd step it up in the second and take the lead when Dimitar Berbatov fires home with a clinical finish following a rapid counterattack
Hehee nishapoa mkuu ila hawa marefa nao sometimes uwa nawamind sana...Alafu nilishangaa sana lee bowyer bado anacheza duh. Hao watoto hawatonishangaa wakiwaachia muwafunge ata kumi.
mbona mechi ilikuwa nzuri mkuu? tofauti ni wote wazuri kwenye kukaba ,sidhani kama ilikuwa mbaya kihivyo.game tamu si uliona juzi unataka kila siku lol?