Lol hadi raha.
Na kazini jeee? Hatuend?
Watu wanaangalia mechi fesibuku na wasapu
Mimi gonjwa gonjwa loh!!! Mummy wangu sijui utasingizia nini weye? Lkn reporting time so bado?
Hili li Steph curry lina mambo ya kisichana sasa anajidai anajua vijembe bongoooo
Bado ni saa mbili kamili ila nitavyo igiza lol utacheka ufe
Ahaaa so kumbe kuna vikosi viwili...
mkuu naona uvivu kwenda sitting room vip una link ya live nitumir nichek hapa hapa.
Mkuu Isaac nyonyox usishangae ndivyo ilivyo mbona? Lazma kijulikane kikosi kipi bora
alivefootball streaming wamelink na youtube, you can watch matches there LIVE.... mkuu vitu kama hujui kaa kimya unazidi kuonekana mshamba...teh teh teh teh
Game inaonyeshwa Youtube eehh.. Aiseee
we ndorobo kuna live streaming. dola 45 unakula mechi yoyote unayotaka mwaka mzima in HD, kwenye computer,tablet,ipad au simu,,, watu wame suscribe na skysports na bt sports. we si umezoea super sports?? you have a long way to go kiddo!!!!!
we ndorobo kuna live streaming. dola 45 unakula mechi yoyote unayotaka mwaka mzima in HD, kwenye computer,tablet,ipad au simu,,, watu wame suscribe na skysports na bt sports. we si umezoea super sports?? you have a long way to go kiddo!!!!!
alivefootball streaming wamelink na youtube, you can watch matches there LIVE.... mkuu vitu kama hujui kaa kimya unazidi kuonekana mshamba...
alivefootball streaming wamelink na youtube, you can watch matches there LIVE.... mkuu vitu kama hujui kaa kimya unazidi kuonekana mshamba...
teh teh teh teh teh
Unaweza kubadilika fasta kulingana na mazingira..
Man u 2-1 galaxy yote Memphis
alivefootball streaming wamelink na youtube, you can watch matches there LIVE.... mkuu vitu kama hujui kaa kimya unazidi kuonekana mshamba...
Hata usimalize nguvu zako kumjibu huyu ana bifu zake na cute b ,achana naĺo linatafutia watu ban.
Yaan apo naliona tuu linavyonipekua. Lijinga kweli. Eti mamy mtu akikutongoza ukamkataa ndo bifu moja kwa moja? Utoto bhanaaa