Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nasikia van gaal amesema hato sajili centre forward mwingine.

Mashabiki wa man u mnakazi sana msimu unaokuja.
 
Nasikia van gaal amesema hato sajili centre forward mwingine.

Mashabiki wa man u mnakazi sana msimu unaokuja.

umemsikia nani? mi nilimsikia yeye anasema anahitaji kuongezea sehemu mbili ila hajataja ni sehemu gani?
 
umemsikia nani? mi nilimsikia yeye anasema anahitaji kuongezea sehemu mbili ila hajataja ni sehemu gani?

Jana MUTV nilimsikia akisema bado kuna surprise mbili ya usajili moja ikiwa ni striker.
Jana jioni kupitia East African radio wamesema kuwa jamaa kasema hatosajili,

Sasa labda msela hapo juu kasikiliza EAR. Pia najiuliza, Hawa jamaa hizi taarifa wanazitoaga wapi?
 
Jana MUTV nilimsikia akisema bado kuna surprise mbili ya usajili moja ikiwa ni striker.
Jana jioni kupitia East African radio wamesema kuwa jamaa kasema hatosajili,

Sasa labda msela hapo juu kasikiliza EAR. Pia najiuliza, Hawa jamaa hizi taarifa wanazitoaga wapi?

Hata mimi niliona MUTV akasema tusubiri surprise mbili
 
Chikamoo!

Nimekumichi chana! Mchalimie cute b

Usinichalimie wewe unataka kuninyima nini jamani!!! cute b nahisi kabebwa na mafuriko ya Eid maana toka ijumaa sijamtia machoni kabisa. Uko pouwa Lakin my rent boy?
 
Last edited by a moderator:
Usinichalimie wewe unataka kuninyima nini jamani!!! cute b nahisi kabebwa na mafuriko ya Eid maana toka ijumaa sijamtia machoni kabisa. Uko pouwa Lakin my rent boy?

Mamy nipo sema ujue nini uzi ulivamiwa na watu wasababishi wa ban nikakimbia zangu nikazima na simu
 
Last edited by a moderator:
Mamy nipo sema ujue nini uzi ulivamiwa na watu wasababishi wa ban nikakimbia zangu nikazima na simu

Aisee!!! Bora ulikimbia maana huchelewagi kurusha makombora ila mimi siku ile nilijitoa muhanga lolote na liwe...lol
 
Usinichalimie wewe unataka kuninyima nini jamani!!! cute b nahisi kabebwa na mafuriko ya Eid maana toka ijumaa sijamtia machoni kabisa. Uko pouwa Lakin my rent boy?

Mi Niko pouwa kabisa Bi mkubwa! Naona siku hizi haka kathread kenu kana kimbia kweli! Mmeanza mpk kutangaza ubingwa kwa usajili mliofanya!

Msimu uliopita hamkusajili ndio maana hamkua mabingwa?

Bhanaa mimi ndo hujamimichi? Mimi mzima mkuu ... wew hujambo?


Wewe mwenyewe nichikumichi? Haiwezekani!

Aya hizo hang over za Eid na zikutoke maana kwa kupombeka wewe ni hatari!
 
Last edited by a moderator:
WAKUU HABARI ZENU HUMU NDANI

Nafurahi kujiunga rasmi na uzi huu wa mojawapo yatimu kongwe na bora kabisa nchini Uingereza, Ulaya na Duniani kote.

Natarajia kutoa mchango wangu chanya ktk kuendeleza familia ya Manchester United..

GGMU

Karibu mkuu
#GGGMU
 
WAKUU HABARI ZENU HUMU NDANI

Nafurahi kujiunga rasmi na uzi huu wa mojawapo yatimu kongwe na bora kabisa nchini Uingereza, Ulaya na Duniani kote.

Natarajia kutoa mchango wangu chanya ktk kuendeleza familia ya Manchester United..

GGMU

Karibu sana Andfaru Jiskie uko nyumbani, cute b kamnunulie mgeni soda herrera leo zamu yako kumuandalia mgeni chumba...umpe na Chevlot yake kabisaa......#GGMU
 
Last edited by a moderator:
Mi Niko pouwa kabisa Bi mkubwa! Naona siku hizi haka kathread kenu kana kimbia kweli! Mmeanza mpk kutangaza ubingwa kwa usajili mliofanya!

Msimu uliopita hamkusajili ndio maana hamkua mabingwa?




Wewe mwenyewe nichikumichi? Haiwezekani!

Aya hizo hang over za Eid na zikutoke maana kwa kupombeka wewe ni hatari!

Hahahaaaa sinywagi bhanaaa labla wew ndo chapombe
 
Aisee!!! Bora ulikimbia maana huchelewagi kurusha makombora ila mimi siku ile nilijitoa muhanga lolote na liwe...lol

Kumbe ni vi form 4 mamy nimeona vinaaga vinarudi shule sijui form 5 .
Hatareee tulikuwa tunabishana na watoto na uzee wetu wote
 
LVG will end up being sacked, trust me.Now I know why he was sacked everywhere he went,he is too cocky.
 
Mi Niko pouwa kabisa Bi mkubwa!Naona siku hizi haka kathread kenu kana kimbia kweli! Mmeanza mpk kutangaza ubingwa kwa usajili mliofanya!

Msimu uliopita hamkusajili ndio maana hamkua

Usiniite jina hilo bana mimi naitwa bebi........huku nikutamu ndo maana kunakimbia.....ubingwa jadi yetu bby umesahau? Trophies Zenu 5 ndizo za Rooney....lol
 
Back
Top Bottom