- Aston Villa fear striker Christian Benteke will be sold to Manchester United by the weekend as Louis van Gaal is set to activate a £32.5m release clause in his contract.
- Furious Louis van Gaal has slammed goalkeeper Victor Valdes attitude and wants to boot him out of Manchester United.
Wakuu huyu Benteke anafaa kwa timu kama yetu??
Pamoja na misukosuko yote bado tuna thamani kubwa na majirani Hawapo kabisaa hata kny ishirini bora.....
Majirani wameshika nafasi ya 36
- Aston Villa fear striker Christian Benteke will be sold to Manchester United by the weekend as Louis van Gaal is set to activate a £32.5m release clause in his contract.
- Furious Louis van Gaal has slammed goalkeeper Victor Valdes attitude and wants to boot him out of Manchester United.
Wakuu huyu Benteke anafaa kwa timu kama yetu??
Benteke ni mzuri lakini si material yetu Mara mia tubaki na Chicharito.......sijaelewa kwanini LVG hamuoni Chicha.
Yah, ila jana kamzungumzia wakati anawatambulisha wachezaji tuliowasajili kwa waandishi wa habari.. anasema mwanzo alikua na strikers wengi ndo maana akawaachia welbeck na chicha ila baada ya falcao na rvp kuondoka anaona chicha atakua msaada, na amesema anatarajia kujiunga na wenzake kwenye tour 25 august pamoja na akina rojo na di maria
Benteke ni mzuri lakini si material yetu Mara mia tubaki na Chicharito.......sijaelewa kwanini LVG hamuoni Chicha.
mkuu valdes amecheza reserves mechi kama 5 hivi, ata twitter ameweka picha akiwa na reserve squad. lets face it van gaal have problems, am just not sure if he is the right man for the job...
Majirani wameshika nafasi ya 36
Binafsi mi simkubali kabisa van gaal, last year tumespend alot only to finish fourth( thanks to Liverpool for being in such a bad form), msimu huu tumepata points kimazabezabe sana
draw against w.bromich (2-2) blind goal 87'
draw against chelsea (1-1) van persie 90+4'
southampton tuliwafunga 2-1 but mtakubaliana na mimi its one of our worst matches
draw against west ham (1-1) blind 90+2'
win against newcastle (1-0) young 89'
alianza na mfumo wa 3-5-2 haukufanya kazi, he kept on forcing it making us loose points in the process
first five matches
loose against swansea 2-1
draw against sunderland 1-1
draw against burnley 0-0
win against QPR 4-0
loose against leicester 5-3
mashabiki wakapigia kelele sana huu mfumo, wakaanza kuimba 442 on the stands. van gaal got some senses akabadilisha. he is based on possession football, but man utd was built based on attacking football. ikifika mahali washabiki wanaimba ATTACK ATTACK ATTACK, you keep wondering who is the coach here??? Premier wanacheza nasty football only to get results chelsea, stoke city to mention a few, possession football doesnt work here amuulize arsene wenger atamwambia... we had 71% ball possession only to loose against chelsea.
binafsi mimi napoteza matumaini na van gaal, with the current squad i can see alot of managers doing better than him.
hayo ni mawazo yangu nikiwa kama supporter wa man utd. nakaribisha mwawzo yenu wadau.
and by the way, can someone explain to me van gaal's philosophy maana iv heard that word every single interview he had mpaka leo sijaelewa!!!
Mkuu van gaal ni mtu mwenye msimamo na anataka ufuate sheria zake yeye kama mwalimu wako sasa hapa ndio anapopishana na wachezaji baadhi wanaojifanya vichwa, angalia kilichokua kinatokea barca kati ya messi na Enrique, kocha alisimamia msimamo wke kuwa messi atokee pembeni, bdy messi kakubali mambo yakaenda sawa, scholes 2001 alishawahi mkatalia fergie kucheza kwenye C1C but mzee alimsamehe maana alijua bado anahitajika, beck na Keane walikua wanazinguana na mzee lakin walikua na umuhimu bado kwenye timu, sasa huyu valdes yeye ilibidi awe mpole maana hata huko U20 bado baadhi ya mechi alizokua anacheza alikua anazingua + umri wake,mkuu valdes amecheza reserves mechi kama 5 hivi, ata twitter ameweka picha akiwa na reserve squad. lets face it van gaal have problems, am just not sure if he is the right man for the job...
Unataka kocha gani aje kuifundisha united?
Wakati wa moyes ulikuwa wapi?
Falsafa kubwa ya van gaal ni kufuata kile anachokitaka, uta enjoy maisha rivaldo(kama nitakua sawa) barca aliondoka sababu akajifanya mkubwa kuliko mwalimu, Rooney alifosiwa kucheza kama mid but alikubaliana nae na mambo yakaenda sawa, tiger alikua winger Bayern but kabadilishwa na huyu mzee now ni mid, hujiulizi kwann huyu tiger kafossi kuja kucheza chini ya van gaal? Anamjua rojo na Herrera Mara nyingi huwa wanaongea kuwa ukitaka kuendana na huyu mzee we fuata anachokuagiza uta enjoy maisha lakiki ukiwa mkaidi utakatwa tuBinafsi mi simkubali kabisa van gaal, last year tumespend alot only to finish fourth( thanks to Liverpool for being in such a bad form), msimu huu tumepata points kimazabezabe sana
draw against w.bromich (2-2) blind goal 87'
draw against chelsea (1-1) van persie 90+4'
southampton tuliwafunga 2-1 but mtakubaliana na mimi its one of our worst matches
draw against west ham (1-1) blind 90+2'
win against newcastle (1-0) young 89'
alianza na mfumo wa 3-5-2 haukufanya kazi, he kept on forcing it making us loose points in the process
first five matches
loose against swansea 2-1
draw against sunderland 1-1
draw against burnley 0-0
win against QPR 4-0
loose against leicester 5-3
mashabiki wakapigia kelele sana huu mfumo, wakaanza kuimba 442 on the stands. van gaal got some senses akabadilisha. he is based on possession football, but man utd was built based on attacking football. ikifika mahali washabiki wanaimba ATTACK ATTACK ATTACK, you keep wondering who is the coach here??? Premier wanacheza nasty football only to get results chelsea, stoke city to mention a few, possession football doesnt work here amuulize arsene wenger atamwambia... we had 71% ball possession only to loose against chelsea.
binafsi mimi napoteza matumaini na van gaal, with the current squad i can see alot of managers doing better than him.
hayo ni mawazo yangu nikiwa kama supporter wa man utd. nakaribisha mwawzo yenu wadau.
and by the way, can someone explain to me van gaal's philosophy maana iv heard that word every single interview he had mpaka leo sijaelewa!!!