Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Asante mkuu nimeelewa kabisa yaani. So ndo leo saa saba eeeh.
#redforever
 
Manchester IPO hatua ya play off hatuanzii hapa, atakae pita kwenye hii hatua ndio tutakutana nae kwenye play off
 
Rojoooooo
 

Attachments

  • 1434968890397.jpg
    33.4 KB · Views: 122

Nyie hata kupita hamtapita!' ...........
 
Nimesikia Ramos anataka kuja Man Utd kama ataondoka R.M. Vipi atatufaa huyu??
 
Nyie hata kupita hamtapita!' ...........
mlikuwa na miaka miwili ya furaha mnafurahia tulivyopoteza makali yetu...sasa mtaanza kutuchukia tena kama zamani!tupo tayari kuwaona mnatuchukia tena=tunaanza kuwararua tena na tena na tena
 
mlikuwa na miaka miwili ya furaha mnafurahia tulivyopoteza makali yetu...sasa mtaanza kutuchukia tena kama zamani!tupo tayari kuwaona mnatuchukia tena=tunaanza kuwararua tena na tena na tena

whaaat?!' makali??? kwa huyo kocha wenu kisoda?!' Labda muanze kuwahonga tena marefa!' ............ mtaturarua kw kikosi gani mlichokua nacho!' hicho cha kina Valencia na A.Young hahahahaha......
 
whaaat?!' makali??? kwa huyo kocha wenu kisoda?!' Labda muanze kuwahonga tena marefa!' ............ mtaturarua kw kikosi gani mlichokua nacho!' hicho cha kina Valencia na A.Young hahahahaha......

wee kaa tayari kutuchukia tena si usubiri muda,halafu umefanana sana na Obama?ni nduguyo?Obama ni rafiki yangu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…