Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inaonesha bado hujui timu gani ya soccer ina worth more than a BILLION $$$

Teheee tehee unaweza kua tajiri ila ukawa bahili pia kwani hatujui ambao wana ubavu sokoni acheni kutuongopea nani hamuogopi Perez hapa akiamua kugonga hodi nyumbani kwako.
 
chelsea might be the champions but every team looks for their match against utd when the fixtures are announced
 
manutd have been beaten once in their last 23 opening day games at home, though this came against swansea last season
 
Last edited by a moderator:
Uzuri ni kwamba match kubwa ya mwisho tunamaliza February
 
Teheee tehee unaweza kua tajiri ila ukawa bahili pia kwani hatujui ambao wana ubavu sokoni acheni kutuongopea nani hamuogopi Perez hapa akiamua kugonga hodi nyumbani kwako.

nashukuru umetambua hilo.
 
jaman mbona huku kwetu kimya sana au mkolon kabana,,,,Kuna tetes kuhusu lukaku mi naona huyu hatufai bora tukomae na harry kane.
 
chelsea signing falcao, so coudrado has got someone to talk to on the bench,
good idea mou

Acha kebehi, Falcao ni jembe ambalo hamkujua jinsi ya kulilimia! Hamtaamini litakapoingia katika mikono ya kocha bora wa msimu!
 
Acha kebehi, Falcao ni jembe ambalo hamkujua jinsi ya kulilimia! Hamtaamini litakapoingia katika mikono ya kocha bora wa msimu!

Mwambie huyo kocha bora atuoneshe kwanza coudrado wa fiorentina ndio ajitape kutuonesha falcao wa Porto & a.Madrid
 
Mwambie huyo kocha bora atuoneshe kwanza coudrado wa fiorentina ndio ajitape kutuonesha falcao wa Porto & a.Madrid

Kwani hamjamwona? Kila alipopata nafasi ya kucheza vitu vyake vilionekana, musimu mtarajie mengi zaidi kutoka kwake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…