Usijali kila kitu na enzi yake tutampata Musa mwingine...... Mimi ninachokiona tuimarishe tu safu yetu ya ulinzi kina Smalling si wa kuwategemea sana japo wamejitahidi,tukiwa na ukuta uliosimama hata majukumu kwa kipa yanapungua, kati pale Carrick apate mwenzake bunduki pale mbele iongezwe jamani United tutatisha......
Hahahahaaa, aya bhana
Hahahaha!!! Shost chezea puchi wewe!! DDG kasema anarudi Spain coz GF yuko huko pili Wazazi wake wanapata tabu kila wiki kuja kumtembelea, tatu yeye ni mspain anarud kwao........ Katika yote sbb kuu anataka kuwa karibu na puchi yake akiihitaji saa yoyote ajilie.....girls tuna nguvu acha kabisa, wanawake oyeeeeee!!!!!
Nikiziangalia timu zingine kama Barcelona, Bayern Munich, RMA, PSG, ATM hata Juventus n.k
nikilinganisha na Man U yetu ya kina Blacket naona tunahitaji watu wa kazi sana kuiweka timu yetu kiushindani vinginevyo tukikutana na hawa jamaa tutaishia aibu.
mkuu mi ninacho ona upate CB jambazi lenye roho mbaya (otamend/hummels) mmoja wapo wa kumuongoza smalling, tupate RB wakusaidiana na valencia (tunahusishwa na van der weil) tupate DM mzuri mwenye mapafu ya mbwa kusaidiana na carick 7bu ya umri wake na majeruhi, upande wa wingers tupo vzr na kama RVP ataondoka itabidi tupate mbadala wake kusaidiana na rooney mbele, CL still tupo far lakn PL we can compete na man city na chelsea, arsenal wenyewe niwashiri tu hatuna haja nao
Hawa RMA siyo watu wazuri kabisa. Wakati DDA anaokota mipira nyavuni kizembezembe hawakumtaka sasa hivi kaiva wanataka waondoke naye.
Hawa RMA baada ya kuvuna matunda ya kijana wetu CR7 baadae kijana Chicharito naye akawang'arisha robo fainali sasa wameamua kutufanya sisi academy yao.
Hahahaha!!! Shost chezea puchi wewe!! DDG kasema anarudi Spain coz GF yuko huko pili Wazazi wake wanapata tabu kila wiki kuja kumtembelea, tatu yeye ni mspain anarud kwao........ Katika yote sbb kuu anataka kuwa karibu na puchi yake akiihitaji saa yoyote ajilie.....girls tuna nguvu acha kabisa, wanawake oyeeeeee!!!!!
Niniiii? Ndo sababu??? Hahahaa kweli P ni hatar
Hamnaaaaaaaaaaaaa mpo babazzzzz tuu mnapishana na harufu za mabeberu hahahaaaaaa
HahahaAaa afu mtetea akija unampanda tuuuu.....
Like like like..... Hapa wewe ndo umeongea kisayansi ya soka vizuri...... Mimi nakwambia hata CL kwenyewe huko tutapita tukifanya usajili wa maana tukaongeza ntu sahihi United hatukamatiki......... Si unaona tu na kaudhaifu ketu tulitishia amani sana tukikamilika itakuwaje??......... Hivi zile friend match zinaanza lini tuziangalie kwa umakini kama makosa yetu yamerekebishwa...... Msimu ujao naskia harufu ya kombe kabisaa sijui ni lipi lakini naliona.......
herrera njoo jibu na hiliNaskia falcao anahusishwa na kutimkia Chelsea? ni kwel wandugu
Hahahaha na kweli sie ndo academy yao hv sahv van gaal anamuwinda nani maana sjapata update za man u kwa mda kdg
Naskia falcao anahusishwa na kutimkia Chelsea? ni kwel wandugu
kuhusu updates mkuu kila siku tunahusishwa na watu wapya na cha ajabu hadi haters wanakodolea macho tuna mtaka nani, transfers za man u zinafuatiliwa na kila mtu hata kuliko transfer za timu zao, we pitia hapa kila siku utakua unazipata
Naskia falcao anahusishwa na kutimkia Chelsea? ni kwel wandugu