unajua madrid hata wakitoa hyo 20 itakua ni bahati yetu maana de gea ana msimu mmoja tu aondoke bure, na contrao alileta pozi mwenyewe kipind tuna mtaka akaweweseka na jina kubwa la madrid, leo hii kaona anasugua benchi anaanza kuongea eti "everybody know i love manchenster utd, is the big club and my dream is to play for utd one day"
unajua madrid hata wakitoa hyo 20 itakua ni bahati yetu maana de gea ana msimu mmoja tu aondoke bure, na contrao alileta pozi mwenyewe kipind tuna mtaka akaweweseka na jina kubwa la madrid, leo hii kaona anasugua benchi anaanza kuongea eti "everybody know i love manchenster utd, is the big club and my dream is to play for utd one day"
Naskia uongozi umekataa hiyo 20 wanataka 40........na huyo Contrao kwa kweli hatumtaki hana namba kwetu atacheza Kama nani?
Naskia uongozi umekataa hiyo 20 wanataka 40........na huyo Contrao kwa kweli hatumtaki hana namba kwetu atacheza Kama nani?
kwa tetesi toka gazeti la marca (spain) inaonekana de gea kisha saini tayari madrid miaka 4 mshahara wake ni 150/week, thats y madrid wanaleta jeuri, na within this week (most likely ni ijumaa) uongoz wa madrid utakaa na cassilas kuhusu ujio wa de gea kama cassilas atataka abaki madrid basi atapunguziwa mshahara wake.
Yule jamaa Ni mzuri naweza kusema kutolewa kwa Madrid kunasababishwa na kukaa benchi hao wachezaji wapambanaji km huyo na Khedira!
Yule jamaa Ni mzuri naweza kusema kutolewa kwa Madrid kunasababishwa na kukaa benchi hao wachezaji wapambanaji km huyo na Khedira!
Walete 50 au waturuhusu tuchague wachezaji tunaowataka.
Ila wachezaji wa spain hawafai kabisa, ni kama watanzania. Wapo radhi wapunguziwe mshahara ili warudi kwao. Toka cesc fabregas alivyojilipia ada kwenda barca nikachoka kabisa. Huyu de gea aende manake anaweza kufungisha tukajua kwasababu anataka kusepa
Bby huyo Khedira kwetu hana namba Kina Shaw, Blind na Rojo washajaza nafasi yake.[/QUOTE
Mhh! Khedira shughuli yake Ni kubwa aisee, hyo rojo na shaw c Ni upande wa kushoto, yy Ni holding midfielder yenye roho mbaya ya kijeruman asiyechoka, akija kusaidiana na carrick, akapatikana na gundogun, yan tutachukua ligi mzunguko wa kwanza, mzunguko wa pili tunahamia Spain au German na kwenyew tunaenda kuchukua ligi yan
Hahaaaa🙌🙌🙌🙌Bby huyo Khedira kwetu hana namba Kina Shaw, Blind na Rojo washajaza nafasi yake.[/QUOTE
Mhh! Khedira shughuli yake Ni kubwa aisee, hyo rojo na shaw c Ni upande wa kushoto, yy Ni holding midfielder yenye roho mbaya ya kijeruman asiyechoka, akija kusaidiana na carrick, akapatikana na gundogun, yan tutachukua ligi mzunguko wa kwanza, mzunguko wa pili tunahamia Spain au German na kwenyew tunaenda kuchukua ligi yan
Bby huyo Khedira kwetu hana namba Kina Shaw, Blind na Rojo washajaza nafasi yake.
Bby huyo Khedira kwetu hana namba Kina Shaw, Blind na Rojo washajaza nafasi yake.[/QUOTE
Mhh! Khedira shughuli yake Ni kubwa aisee, hyo rojo na shaw c Ni upande wa kushoto, yy Ni holding midfielder yenye roho mbaya ya kijeruman asiyechoka, akija kusaidiana na carrick, akapatikana na gundogun, yan tutachukua ligi mzunguko wa kwanza, mzunguko wa pili tunahamia Spain au German na kwenyew tunaenda kuchukua ligi yan
Shughuli yake kubwa kwanini yuko bench tatizo nini?
Ila Khedira ktk nafasi ya kiungo cha kati anaweza kuwasaidia my dear kwasababu tumeona Carrick alivyoumia na timu imekua na shida hapo kati. Kwahiyo km kunakua na Khedira hapo kati na Herrera na Fellain timu inakua imara!
Blind yeye acheze beki ya pembeni kushoto tu. Au waonaje baby? Alafu Evra mmemuuza jumla kwa Juve au yupo kwa mkopo? Naona kawa mzuri km zamani!:thumbup:
Ila Khedira ktk nafasi ya kiungo cha kati anaweza kuwasaidia my dear kwasababu tumeona Carrick alivyoumia na timu imekua na shida hapo kati. Kwahiyo km kunakua na Khedira hapo kati na Herrera na Fellain timu inakua imara!
Blind yeye acheze beki ya pembeni kushoto tu. Au waonaje baby? Alafu Evra mmemuuza jumla kwa Juve au yupo kwa mkopo? Naona kawa mzuri km zamani!:thumbup:
(net inasumbua)Khedira ni kabila gani naanza kuwaogopa waspain sasa....lol.......atacopy na philosophy ya LVG au yale yale ya kina ADM na Falcao?
Mhh!! Evra sikumbuki Transfer yake ilikuwaje