Dah!!! Ndugu yangu tutakosana sababu ya michepuko ntakununia kweli ila sababu Juve ni best yang ntakusamehe ila tuache michepuko turudi njia kuu......lol..... Msimu ujao tutakavyokuwa wakali haki ya nani michepuko tutaisahau kabisaa....
Dah!!! Ndugu yangu tutakosana sababu ya michepuko ntakununia kweli ila sababu Juve ni best yang ntakusamehe ila tuache michepuko turudi njia kuu......lol..... Msimu ujao tutakavyokuwa wakali haki ya nani michepuko tutaisahau kabisaa....
Mhh!!! Embu tupia hapa hiyo ratibaNimeona mchepuko wako umepangiwa game na njia kuu....mmmhhh sijui utakaa upande upiiii
Siyo mbali mwezi wa 8 game Kama kawaida humu tutakutana tu kwa habari za usajiliIvi msimu ujao ni lini vile.maana nitawamithi sana jaman
Hiyo apo mumyMhh!!! Embu tupia hapa hiyo ratiba
Siyo mbali mwezi wa 8 game Kama kawaida humu tutakutana tu kwa habari za usajili
Naomba niseme tu: Hongereni sana kwa jana.
Mtazamo wangu: Mna kikosi kitamu sana yana. Nawaza kama msimu ujao kina Shaw-Blind-Rojo-Herrera-Mata-Fellaini-Young wakicheza kama walivyocheza jana, pale kati hakuna mtu wa kuwazingua.
Yani mnatakiwa tu mtafute tena striker mzuri na kipa then mtakuwa poa sana!!!
Mkuu Sijakuelewa hapo kwa YOUNG ASHLEY
Ashley anatakiwa kuondoka au akubali sub
Pengo la De Gea na sio mabeki....Then tutaangalia kama ataweza kweli kuziba makosa yakina Jones, Smalling na Blackett!lol
Mkuu Ashley Young msimu huu amesaidia timu kuliko ilivyotarajiwa na Di Maria hakuwa na msimu mzuri sana ingawa amekuwa na assist nyingi kuliko mchezaji wowote wa Man u mpaka sasaAshley anatakiwa kuondoka au akubali sub
Ashley anatakiwa kuondoka au akubali sub
real madrid wametoa ofa ya paun 20millions + contrao= de gea,
japokua utd mara ya kwanza walikua wanataka 50, (bila contrao)
real madrid wametoa ofa ya paun 20millions + contrao= de gea,
japokua utd mara ya kwanza walikua wanataka 50, (bila contrao)
Priority yetu kwenye usajili ni CB mzoefu acheze na Smalling,na kiungo mkabaji pale kati Carick ameshakuwa spana mkononi