Fanyeni juu chini DDG asikimbilie kwao ama sivyo mtajiunga na Liverpool kugombania Europa League spots. Jamaa kaokoa vipigo vingi msimu mzima, ndiye anastahiki kuwa mchezaji bora wenu wa msimu na kipa bora EPL 14/15
Daah yaani leo man u wamenifurahisha sana...
Bado naendelea kuwaombea wachezaji walioumia wawe poa soon kwa ajili ya kuingia kweny mpambano ujao
God bless Manchester United na fans wake
Daah yaani leo man u wamenifurahisha sana...
Bado naendelea kuwaombea wachezaji walioumia wawe poa soon kwa ajili ya kuingia kweny mpambano ujao
God bless Manchester United na fans wake