Ningefurahi zaid wakaweka na Nyeupe iwe kwenye list ya jezi official za msimu ujao.
Binafsi napenda jezi nyeupe hata kanisani unaivaa tu 🏃🏃🏃🏃
Nimeisoma kwa sky sports sasa hivi ila clause deal haijawekwa wazi bado. Pia clyne nae yupo kwa mazungumzo na united. Hummels next week ataanza mazungumzo ila sasa hivi wakati tunaongea Depay yupo kwenye mazungumzo na United.
Pundits wanasema endapo deals zote zitakubalika basi squad ya United itakuwa kama ifuatavyo:
View attachment 246506
Binafsi nitafurahi rooney akawekwa pale mbele na Ikay akapata msaidizi cause he's too prone to injuries
Hahahaaaa...!! Bulldog eti "hata kanisani unaivaa tuu" 😂😂
Nafasi ya Ilkay kumbuka Carick bado yupo na hata kiraka Blind anaweza cheza hapo
Haka kajezi kana meremeta
Miaka ya karibuni nimekuwa mpenzi wa jezi za Adidas kuliko Nike,angalia jezi za Chelsea na Real Madrid zilivyokuwa nzuri.Kuanzia AON na Chevloret sikuzipenda kabisa
HahHahaha!!! Dah! Umenifurahisha sana binafsi nitafurahi sana hizi deal mbili zikitiki.
mfupi kama mata
Safiii,safi sana itabidi kabatini wakufanyie mpangilio mzuri maana naona kabisa makombe mengine yakiingizana kwa fujo msimu ujao.......