Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbali na CH14 bado tunahitaji viungo wa maana, carrick ndo jua linazama hivyo tusitegemee kama anaweza kuwa fit msimu mzima.

Kivipi kitwala sijakuelewaa.....Carrick aliumia sana?
 
Last edited by a moderator:
Kama LVG angekuwa na faith na CH14 nafikiri angetusaidia sana kuliko Falcao anayestrungle na form fitness. dogo anaijua EPL vema

Sidhani kama LVG anamkubali CH14, na Madrid wanaonyesha kuwa hawatamsajili, na media leo zime report kuna uwezekano akarudi EPL ila sio Man Utd
 
rubaman

Hao India wamechukua muda gani kufika huko Mars? hapa ninazungumzia tangia walipoanza kujiandaa?

Kwahiyo hata timu bora kutumia hicho kiasi sio mbaya maana mafanikio hayaji mara moja

Si unaona mwenyewe tunavyo tengemaa sasa

Angalia msimu ujao uone kama utasema tena maneno hayo
 
Last edited by a moderator:

Yeah, wamechukuwa muda mrefu kwa pesa chache kuliko UTD walizotumia kurudi top 4. Nasikia LVG atapewa kitita kingine ili amalieze nafasi ya 2 nyuma yetu msimu ujao LOL
 
Yeah, wamechukuwa muda mrefu kwa pesa chache kuliko UTD walizotumia kurudi top 4. Nasikia LVG atapewa kitita kingine ili amalieze nafasi ya 2 nyuma yetu msimu ujao LOL

Itabidi sasa ninze kutumia misemo ya Malafyale ili tuelewane lol

Hata nyie mnajua kuwa kabisa Arsenal hawawezi kuwa Mabingwa wa EPL katika kipindi hiki cha karibuni
 
Itabidi sasa ninze kutumia misemo ya Malafyale ili tuelewane lol

Hata nyie mnajua kuwa kabisa Arsenal hawawezi kuwa Mabingwa wa EPL katika kipindi hiki cha karibuni

Hatupo mbali kulibeba kombe la EPL. Misimu 2 au 3 ijayo tutakuwa mabingwa, Bookmark hii. Kina Malafyale wasahau kabisa katika hiki kinyang'anyiro cha EPL. Msimu ujao utakuwa mkali sana kuliko huu.
 
Hatupo mbali kulibeba kombe la EPL. Misimu 2 au 3 ijayo tutakuwa mabingwa, Bookmark hii. Kina Malafyale wasahau kabisa katika hiki kinyang'anyiro cha EPL. Msimu ujao utakuwa mkali sana kuliko huu.

Kumbukumbu zinaonyesha kuwa Prof kila mwaka anasema next season itakuwa bora kwa timu yake.... ila hiyo next season hatuioni kufika.. ohhh labda anamaanisha target yake ya kucheza CL

Wakina Malafyale na Pazi msimu ujao wajiandae kisaikolojia kucheza na timu za Belgrade kwenye Europa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…