Wadau wenzangu tukubali Van Gaal leo amekula maharage ya wapi sijui.
Kitendo cha kumtoa Mata na Young na kumuingiza Januzah na Dimaria tayari amekubali kushindwa.
Kama haitoshi anamuingiza Blacket aliyeuza timu, kwenye mechi na Leister city timu ikiongoza bao 3