Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ninamshukuru Mungu sana kwa kunichagulia Man Utd iwe ni timu yangu

Yaani ni furaha tuu kila siku

#ChelseaFans tunakuja kugonga mlango wenu soon... jitayarisheni kufungua

Mkuu kila siku namshukuru Mungu kwa kunipa bahati hii ya kuwa mmoja katika Utukufu huu wa OT. Sijui kama bado ningekuwa hai mpaka muda huu kwa timu kama Liverpool, Arsenal au Man City.
 
Without a shadow of Doubt as an Arsenal Supporter Nasema MMEDESERVE kuwapiga City leo

Muendelee hivyo hivyo Munipigie na CHELSEA next weekend

alafu tukikutana muache tuwafunge....hahahahaha

Big up wote humu kwa kumfukuzisha Pellegrini kazi Rasmi leo
 
Leo ni siku nzuri sana kulipa goli 6 lakini tunapoteza nafasi nyingi sana

Mkuu LVG asingemtoa Fellain na Matta leo kisasi kilikuwa kinalipwa. Toure amecheza mpira baada ya Fellain kutoka na hatimaye kuchangia bao la pili.
 
Reactions: Nzi
Kwa mara ya kwanza msimu huu Chelsea anaingia kucheza na Man U akiwa ni "under dogs"!Man U wapo vyema zaidi ya Chelsea

Yeah kwa current form ya Man Utd wapo juu ya Chelsea, na wachezaji wana confidence sana kitu kinachofanya kumfanya mtu aseme Utd wana nafasi kubwa ya kushinda
 
Reactions: Nzi
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…