Nami nilikuwa nafikiria namna hiyo mkuu, Di Maria akirudi katika form itakuwa safi hata kuangalia mechi...
Blind na Fellain na wenyewe wapo njema kwa sasa... Ashley Young, Valencia...
Wacha Januzaj aendelee kusugua benchi tu...
Mechi zile tatu Man U walicheza mpira mzuri, na matumaini yapo... hata kama unaangalia...
Cha kufurahisha ni kwamba, pamoja na Di Maria kuonekana flop lakini mpaka sasa ana 9 assists akiwa ndiye top assist maker wa Man U msimu huu na wa 5 kwa Man U wa wakati wote in a Single PL season
bring on next season when he is on fireeew
Nzagamba oleho nalekobona, olekandekejaga... Wabheja sana...
Nkoi naleho nalekandegeja sn na Ngi one!
Haya uniwekeage na kamusi pembeni ........lol
Hilo dogo mamito. Ntakupa hiyo kamusi.
Safari hii Man U mjitahidi mrudi UEFA ili muweke ushindani kwa timu za England, natamani sana mkirudi hatua ya mtoano au robo mpangwe na FC Barcelona.
Mimi ntakuwa dilemma ntakosa kwa kushangilia jamani Lol!!!
Mimi ntakuwa dilemma ntakosa kwa kushangilia jamani Lol!!!
baki na man u yako, timu inacheza mpira ka simbaaa!!!!
Hahahahaaaa pole sn.....ndio maana mi Niko na Mourinho wangu lol
Weeee sasahivi tumerudi kwenye form yetu mbona UEFA na tutafika mpaka fainaly na tutacheza na Barca akishinda yoyote furaha kwangu, Ntuzu hapa nimeongea kama waleee rafiki zetu lol
:thumbup:😀:banghead: sasahivi atakuvuruga kweli kweli bora uwe na nyumba ndogo kama mimi ukivurugwa huku unaenda kupoza machungu kule,ukifurahishwa kote kama last week inakuwa buruuuuuuudani,lol