Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahaaa mkuu naona unajaribu kulipaka rangi basi kwa kusema kudefend vzr ni tofauti na kupaki basi.....Kule Camp Nou mbele alikua ni CR7 tu lkn wote mlikua ktk box lenu mkitibua move za wachezaji wa Barc....na mlikua na msitu mkubwa wa mabeki na viuongo, nakumbuka kina Owen Hagrives walikuwepo wakati huo...yani mlikwenda Camp Nou na mbinu hiyo tu na mpira ukawa mbaya ata kutiza maana ilikua timu moja iko ktk box lake na haitaki kutoka kwenda mbele na timu ingine imetoka na muda wote inachezea mpira.....huku ndio kudefend vzr? timu haitaki kutoka ktk box lake ndio kudefend vzr huku rafiki yangu RRONDO?

Mchezo wenu wa pili pale OT kidogo mlitoka na kidogo kocha wenu alipunguza kuweka wachezaji wengi wakabaji na kuwaweka kina Luis Nani na mkafunguka kidogo lkn mlipopata goli tu basi makarudi ktk mabasi yenu.....hahahahaa

Wewe ngosha ebu soma haya...hii ni match report ya first leg...

A missed penalty from Cristiano Ronaldo ensured FC Barcelona and Manchester United FC remain deadlocked at 0-0 after an enthralling first leg of their UEFA Champions League semi-final.

Extraordinary scenes
The English side's last visit to the Camp Nou had ended in extraordinary scenes as they won the 1999 UEFA Champions League with two added-time goals, and they almost picked up where they left off on their first return since, only for Ronaldo to fire a third-minute penalty wide after Gabriel Milito had handled. It was as close as they came on a night when Paul Scholes made his 100th appearance in the competition, although the visitors will be thankful to escape with a draw after being forced on the back foot for much of the match.

Penalty miss

The tie sprang to life from kick-off, providing drama as early as the second minute when Ronaldo headed on Scholes' corner only for Milito's raised arm to intervene. The Portuguese international took the spot-kick himself, but fired wide to the relief of the majority in the 98,000 sell-out crowd. Well off the pace in the Primera División, Barça's season rests on this tie and they quickly found their feet, a lightning run from Lionel Messi putting the away team on the back foot. It was breathless stuff as the home side probed a makeshift United back line, shorn of the unwell Nemanja Vidić.

Attacking intent

Sir Alex Ferguson had named an attacking side with Ronaldo, Wayne Rooney and Carlos Tévez all selected, but they could not break out of their half. Starved of possession, Ronaldo reacted angrily as Rio Ferdinand pumped a clearance high over his head and soon after Rooney was forced to clear off the toes of Samuel Eto'o deep inside his own area. Against the run of play, though, United nearly broke through. Andrés Iniesta's misplaced pass let in Ronaldo, who was eased off the ball by Rafael Márquez as he closed in on goal.

Ronaldo chance

Despite Barcelona's possession, United goalkeeper Edwin van der Sar was rarely troubled, a low save from the returning Deco's free-kick on 38 minutes his main contribution of note as half-time approached. At the other end Ronaldo's darting run was halted by Márquez's clumsy challenge, with the resulting booking ruling him out of the second leg.

Classic encounters

The talk in the build-up had been of classic encounters between the sides and the second half began at a pace worthy of the fixture. On 48 minutes Messi's shot was blocked, then Michael Carrick's tackle kept out Eto'o. Moments later Eto'o drove into the side-netting before Carrick did likewise at the other end. United breathed a sigh of relief when Bojan Krkić replaced the tiring Messi two minutes past the hour.

Evenly poised

The home team could still not find a way through, with Van der Sar forced to push away Thierry Henry's fierce drive after the Barcelona substitute had cut inside from the left, and United looked increasingly dangerous on the break as the half progressed. Neither side, however, could break the deadlock, leaving the tie evenly poised for the return at Old Trafford next Tuesday.

Na hizi ndizo zilikuwa lineups http://www.uefa.com/uefachampionsle...108/match=301911/postmatch/lineups/index.html

Lineups za second leg http://www.uefa.com/uefachampionsleague/season=2008/matches/round=15108/match=301914/index.html

Chanzo: UEFA Champions League 2007/08 - History - Barcelona-Man. United ? UEFA.com
 

Attachments

  • 1427903633024.jpg
    1427903633024.jpg
    51.5 KB · Views: 271
Last edited by a moderator:
Siku hizi atleast hata kuangalia mpira unafurahi aisee... ile zana mliyotuuzia ni nzuri...

Sijui ni kwanini Van Gal alikuwa akiipiga benchi...


Yaah mko vizuri kidogo.

LVG alikua anajaribu timu na wachezaji ili kupata first eleven Yake na sasa naona ameanza kuipata....kikosi kilichocheza na Spurs na Arsenal na LFC ni kikosi kizuri ambacho hakitakiwi kubadilishwa.

Binafsi naona bado hatujafikia peak yetu

By the way, nimemiss sana chama langu Champions League...huwa sielewi mashabiki wa Looserfools wamewezaje kuishi miaka yote bila CL football

Mkuu nakubaliana na wewe na mmeanza kupata peak yenu ya zamani

LFC wameshazoea....ila hio kitu ni ngumu kuzoea aisee
 
Miujiza ya little Spanish Magician imeanza kuonekana....Angel akirudi kwenye form yake it will be joy to watch watu watatu ....Herrera, Mata na Angel

Nami nilikuwa nafikiria namna hiyo mkuu, Di Maria akirudi katika form itakuwa safi hata kuangalia mechi...

Blind na Fellain na wenyewe wapo njema kwa sasa... Ashley Young, Valencia...

Wacha Januzaj aendelee kusugua benchi tu...

Mechi zile tatu Man U walicheza mpira mzuri, na matumaini yapo... hata kama unaangalia...
 
Back
Top Bottom