Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Hii ndizo opinions za Wanazi wa Man Utd, mnazidi kujipa moyo na farija kwa vitu visivyothibitishwa. Aliyeandika hii post(original) alikuwa ni mnazi wa United. Nipe link nicheke
 

Umri umemtupa na ana 29?? rubaman Seriously??
 
Last edited by a moderator:

Hapa sasa mkuu BAK unataka unitishe mpk mimi sasa....lol. Ata sikubali...utamfunga tu huyo huyo eveelenk lkn mimi na chama langu huwezi.

Hahahahahaha lol! eti kuutafuta mpira kwa tochi 🙂🙂 haya Mkuu ila jiandae kwa maumivu makali sana wiki ijayo. Mie, Ntuzu na dada yako everlenk tumeandaa gunia sita za pole angalau usitukimbie hapa jamvini.

Mkuu tarehe 4 sio mbali.....na mimi nilivo hodari kwa kuhesabu sikuuuuu...ni balaa. Asije tu huyu Malafyale akaanza kusema niko Ikwiriri, mara sipo mjini.....safari hii nitamtafuta mpk huko Ikwiriri na Mabibo....

Umeona eeh! mwache Malafyale ajipige kifua ila matokeo anayajua anajaribu kujipa moyo tu.

Huyu ni kawaida yake kutoa maneno sn.......alitoa maneno kabla ya mechi yao na ManU mpk everlenk akaogopa, akawa na presha......hahahahaaa chezea Malafyale

Kwendraaaaaaaaa!!!! Umefurahi kwasababu ametajwa Costa na Fabregas, huyu Kaka yangu Malafyale legend wake ni Mata tu, akimkumbuka jinsi alivyomtoa nishai hana hamu, lolz

Hahahaha yani ukimtaja Costa akili inaniambia kua ni top scorer na ukimtaja tu Faby akili pia inaniambia ni top assist....Safari hii tunachukua kombe na na hizo tuzo zote za hao kina Costa na Faby.

LOL! Kuna yule msagasumu nambari one humu acha! Anaitwa Nzi anajua kuandika mambo ya kuudhi sana 🙂🙂

Hahahahaa, huyu Nzi tangu kamfunga LFC siku hizi kawa na maneno murua kabisa..



Majogoo siku yakinicharukia ntakimbia humu mpk msimu ujao....lkn unajua ukiondoa huyu rafiki yangu Malafyale na baadhi amabo hua napiga nao story kuna wengine mule ni nouma aisee...Ile siku PSG wamevunja Daraja walikuja karibu wote kila mmoja anaongea lake aisee....ngoja na mimi niwape za uso kidogo kidogo.....

Kuna mchambuzi wao kule LFC mkuu kapotea tangu Mata aliposhusha kipondo....kwi kwi kwi kwi kwi kwi BAK usije ukapotea na wewe ukifungwa mimi na everlenk tutakuja kukufariji mkuu.....lols.
 
Last edited by a moderator:
LOL! Mie siku nyingine huwa nasoma tu kimya kimya huwa nacheka sana lol! Sasa wakutane yule Gunners mwenzangu Wacha1 na Nzi utafurahia jinsi wanavyocharurana lol! Kweli aisee bila watu kama hawa majukwaa haya yatapooza sana. Mie kuangalia mpira bila kuwepo hapa juwaani hata haunogi sana.

 
Last edited by a moderator:
Siwezi jipa ban sababu mlishinda mkitumia loopholes ya Majogoo kuwa pungufu

11 kwa 11 hunifungi Anfield

Kwani uliweka conditions kuwa mtu akipewa red card BAN inakuwa haitambuliki?!! Wewe ulisema hata tukipata draw unajipiga ban. BTW SG alistahili red card let's assume he did u a favor coz u can't survive a day without commenting on this thread,prove me wrong!
 

Jamaa ana excuse za kimawenge....Liver alishaingia kwenye mashine ya kuchinjia....it wasn't about red card but about tactics

Sipati picha wangefunga goli wakiwa 11 kisha red card then tuka-draw.....mane lno ingekuwa mingi mtaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…