Thubutuuuuu kaka siku hiyo ni machozi,jasho na damu mpaka kieleweke, hadi naniliu tutaminyaaa hahaha!!!!
Isha nunua champagne kibao
Wanaopenda Heinekken sawa
Kama unapenda Budlight sawa
Wenye kupenda soda pia watakuwepo
Ni furaha sana kuua"mnyama" uani kwako
Isha nunua champagne kibao
Wanaopenda Heinekken sawa
Kama unapenda Budlight sawa
Wenye kupenda soda pia watakuwepo
Ni furaha sana kuua"mnyama" uani kwako
Kwa timu gani uliokua nayo na kocha gani ulienae mpk useme yote haya? Huyu BR kocha wa Academy?
Kwa timu gani uliokua nayo na kocha gani ulienae mpk useme yote haya? Huyu BR kocha wa Academy?
Kula like 10000000000
Kocha wa Academy ambaye hajapoteza gemu EPL...toka 2015 ianze!
Kwa timu gani uliokua nayo na kocha gani ulienae mpk useme yote haya? Huyu BR kocha wa Academy?
Santeeee......
Huyu kaka yako anaongea sn km amekunywa ulanzi.....Siku hiyo Michael Carrick atawatibua vibaya sn pale kati kina Henderson, P Coutinho....chezea Carrick wewe....
Yaa kocha wa academy aliyekushinds kwenye msimamo wa ligi May 2014
Kocha wako asiye wa academy mbona alishindwa na kocha wa academy?
Carrick ni kikongwe mno hana impact yyt kwa sasa ktk EPL
Miaka yake 33 amsumbue nani?
Santeeee......
Huyu kaka yako anaongea sn km amekunywa ulanzi.....Siku hiyo Michael Carrick atawatibua vibaya sn pale kati kina Henderson, P Coutinho....chezea Carrick wewe....
ingawa hutaki kuja kumwaga pongezi kule lakini mie nakuja huku huku kukuringishia dooli dolii,hujamuona Tevez na mashuti yake,dooli doli..we endelea na Carrick wako lakini..dooli doli,Morata dooli doli..robo fainali..dooli doli!haya endelea na EPL yako!
Juve hapo ndipo mwisho wako na mido zako za maguvu bila akili
Hayupo Pirlo humfungi yyt aliyebaki
Samahani wakuu kwa kuleta ujuve huku old trafford,ni sababu ya malafyale mchokozi sana.
Ukipangwa na yyt kati ya Bayern,Barca,Madrid,Atletico na PSG utaaga mashindsno kwa aibu!Pirlo na Marchisio ndiyo roho ya team yako na akikosekana mmoja wao hufanyi lolote
Utapita tu kama utapata bahati ya kuonana na wale Wareno au Monaco
Kocha wa Academy ambaye hajapoteza gemu EPL...toka 2015 ianze!
Santeeee......
Huyu kaka yako anaongea sn km amekunywa ulanzi.....Siku hiyo Michael Carrick atawatibua vibaya sn pale kati kina Henderson, P Coutinho....chezea Carrick wewe....
ingawa hutaki kuja kumwaga pongezi kule lakini mie nakuja huku huku kukuringishia dooli dolii,hujamuona Tevez na mashuti yake,dooli doli..we endelea na Carrick wako lakini..dooli doli,Morata dooli doli..robo fainali..dooli doli!haya endelea na EPL yako!