Hahahahaha lol! anapenda sana kufagiliwa huyu π mie wakifanya vizuri nawafagilia kila siku lakini kuna yule jamaa mmoja anaitwa Nzi ana usongo sana hata ukimfagilia bado tu anakuwa ana usongo lol!
Mwache huyo BAK hajui ,ila umefanya kosa kumwambia siri hii lol
Vita ni vita tu (in jaluo speech) mpaka dakika ya mwisho kitaeleweka,ila na wewe @ Ntuzu mjiangalie hapo mlipo msianguke tena......
Hahahahaha lol!!! nitafutie yule Honey Faith mwambie aje mtaa huu haraka sana ili alete kismat chake tuweze kushinda leo kwa bao 4-0 na kuushangaza Ulimwengu wa wapenda soka duniani. Mie nakuombea banaa sasa hapo huoni nakufagilia utoe sare badala ya kufungwa? Chezeya mimi wewe!!! Ndio hapo dua langu litaanza kukupata utanitafuta mwenyewe na kuniomba samahani. "Nisamehe BAK hivi vipigo mfululizo vinaninyima usingizi hebu angalia tulikuwa namba 3 sasa tumeshuka hadi #8 within 3 weeks tu." hahahahahaa lol! nitakuwa najidai kwa raha zangu. Hebu nitafutie Honey Faith mwambie chonde chonde apitie mtaa huu kabla game haijaanza ili atie baraka zake.
Kwi kwi kwi kwi kwi lol!!!! Hahahahahaha lol! ahsante sana Mkuu Ntuzu maana hata wakifungwa siku hizi huja hapa na kubaki kuwa msomaji tu sitii neno maana kuna watu wakiamua kununa utatamani ardhi ipasuke utadhani BAK ndiye aliyefunga goli/magoli khe khe kheeeeeeeeeeeee
All the best mkuu, mi napenda tu kuona mnavokabana koo na huu utofauti wenu wa points mbili,moja na moja na moja....lol.
Kulikoni unamtafuta dada ya Honey Faith kwa nguvu hivo....una ng'ombe 100 wewe.....lol.
Asante aisee, alafu hapo red ndio pananogesha ligi, natamani na nyie uko juu ingekua the same ili ligi inoge sana
Hahahahahaha unaona eeh!!! Bila watu kama Nzi, Ntuzu, Wacha1, rubaman, Honey Faith, Belo, nifah na wengineo wengi jukwaa litapooza na kukosa utamu. Mie saa nyingi huwa nacheka sana pekee yangu jinsi watu wanavyocharurana saa nyingine kuna raha tu ya kusoma kimya kimya bila kutia neno. Hahahahaha lol! eti BAK anakuwaga mkali kweli akiguswa lol!!! nimecheka sana dah!
lol! Hapana Mkuu huyu mrembo kila akiahidi ushindi basi huwa hakosei kishasema mara 6 na mara zote hizo ilikuwa ni ushindi tu sasa leo akija hapa na baraka zake aseme si ushindi wa chini ya magoli 3-0 ππ ili tuanze kushereheka mapema.
Ngoja nikusaidie kumuita.. Honey Faith njoo huku BAK anakuita uje utie baraka zako.....
Ahsante sana labda wako pamoja na utafiti ππ maana aliahidi kumpitia ili waende sehemu kuangalia huu mchapo bila vurumai zozote zile.
Nipelekee salam zangu kwa utafiti nimemuona mitaa flani anatembeza sumu juu ya MANU mwambie nimemuweka kiporo halafu akumbuke na ile thread aliyonianzishia nazidi kumuweka kiporo,lol
Niambie hapo badaye tunatokaje niandae leso ya kukufuta machozi au maua ya kukupongeza?
Nipelekee salam zangu kwa utafiti nimemuona mitaa flani anatembeza sumu juu ya MANU mwambie nimemuweka kiporo halafu akumbuke na ile thread aliyonianzishia nazidi kumuweka kiporo,lol
Hahah sina presha kaka, leo ni mwendo wa 3 ugenini. Subiri nikamuamshe honey faith kwanza
Hivi ni leo? Headings za magazeti hapo kesho.
Arsenal pulls off one of the greatest comebacks in Champions League history.
Ila mie macho yangu nimeyaelekeza pale anfield Jumapili mchana.