Magarasa mengi tu yamewahi kutufunga,Wellbeck ni squad player still Giroud ambaye nyie mnamuona garasa ni mzuri kuliko WellbeckHahahaha Garasa limewaliza leo.
Dah wewe kiboko lol
Una furaha sana leo ... ila si ulisema midweek games utakuwa hupatikani humu au ?
Leo ingekuwa weekend lazima ungeenda ku chill na Iverson mitaa ya kati
LVG hafiki April, game 3 za EPL zinamwondoa na Giggs ndiyo atatupeleka May. Ninamashaka sana na nafasi ya 4 very likely kumakiza 6 au 7 tena. Hii ni mbaya mno.
Kwa mambo haya Arsenal hatutaweza kumpita EPL, pia Souths, Spurs na Liver wanaweza kutuacha kwani timu zote zinacheza vizuri kukiko sisi.
Magarasa mengi tu yamewahi kutufunga,Wellbeck ni squad player still Giroud ambaye nyie mnamuona garasa ni mzuri kuliko Wellbeck
LVG ni bonge la kocha
Ila akiendelea na kiburi chake hiki...... mkataba wake wa Miaka 3 hautafika mwisho
mh!!!!!!!!!!! cjui kesho nitauweka wap uso wangu
Hata ye leo nimeikosa nimerudi game limeshaisha. Furaha ya kukata "uteja" at least kwa game moja. Hata hivyo mwanzo wa ngoma ni lele muda si mrefu mtakuwa mkisikia tunacheza na nyie mnajua ni kupigwa goli kadhaa LOL
Akibadili falsafa yake..... falsafa yake inaua vipaji vya vijana cheki sometime Di Maria anavyotia huruma anaonekana si lolote,Falcao,Mata wanaonekana kama wachovu tu.....
kwanini Ander Herrera alitolewa? nafikiri matatizo yalianzia baada ya sub yake
kwa mara ya kwanza nimeanza kupata mashaka juu ya LVG na nafasi ya United ndani ya top 4
So far the best thing alichofanya ni kupunguza magarasa (Cleverley,Wellbeck,Anderson etc) but so far sijaona improvement yeyote kwenye timu
Tatizo mbishi mno .... anataka kutufanya tuwe kama Arsenal vile wanavyofanyiwa na Wenger na falsafa yake ya kusadikika
Yaani mtindo ule ule leo unacheka kesho unalia.....pepo la kujinyonga kama wao likae mbali na sisi kabisa lol
Hili tatizo litakwisha soon ... tutamleta "The Chosen One" Old Traford
Ila hata LVG akiendelea kuwepo sisi hatuwezi kuwa wateja wa kudumu wa Gunners
Kuna msemo unasema hata mbuyu ulianza kama mchicha
Utani Utani tutakuwa kama "hizo timu zingine" ambazo zina miaka zaidi ya 10 hazijawahi kuwin EPL
Wacha nitoke online ninyooshe miguu
Siku Njema