Manchester United (Red Devils) | Special Thread

LoL! Yaani nilikuwa naomba Mungu mtoe hata draw nilikuwa nimewakamia leo hasa wewe lakini ah! Mungu si Athumani dua la BAK haliwapati MANU 🙂🙂 ungelia leo maana ningekesha jukwaani kwenu halafu ningekuomba samahani kwi kwi kwi kwi kwi lol! Naimagine furaha zenu baada ya yule mtu wa kujirusharusha AKA Ashley Young kuziona nyavu.... Hongereni sana bado mnataka kula sahani moja na sisi.

Hongera sana na wewe ila hata nawe QPR amekusumbua kiasi fulani ila naona kipindi cha pili mkamuweka sawasawa........nilikuwa najisemea mimi leo Uso wangu ntauweka wapi mbele ya BAK kwikwikwikwi!!!!! Next Loh............!!!ni mimi au wewe?????
 
Nawe ulale unono Mkuu na ndoto njema za Ashley Young lol!!! Hahahahahaha

Hahahahaha!!!! Yaani leo kwa furaha niliyonayo naweza muota kweli halafu nikachezea kichapo maana nitakavyolitamka Aaasshhhleeeeyyy 😀😀😀 .......si unajua tena ndoto ni mawazo?
 
Hata goli la offside hamkufunga? Unachezaga Futebol de salao nini?

Ndiyo, ila hatutumii 'pitch' yenye mbao kama viwanja vya basketball. Tunatumia 'pitch' yenye material kama zile za kwenye running track za riadha...rami si rami! Sijui hata ni material gani..zinakuwaga na rangi kama ya udongo, kwenye tennis wanasema clay court, kitu kama hicho...
 
Si bora umuote Ashley Young unaweza kutoa maelezo yakakubalika kuliko kumuota Nziiiiiiiiiiii hahahahaha lol! halafu unaulizwa huyu Nzi unayemuota ni yule wa JF kwi kwi kwi kwi kwi utapata kigugumizi kichapo chake kile cha Ashley kitakuwa cha motto, ila nafurahi kuona jukwaa leu leo limechangamka ukilinganisha na siuza misiba humu 🙂🙂 ili mje msiba mkubwa unakuja kwenye FA Cup. Ukipata kichapo leo cha kumuota Ashley Young pita mtaa wa nanihii nikupatie first aid I hope hatagusa reception katika kichapo hicho. Usiku mwema wote humu ndani. Nzi bado anaruka ruka huku na kule nadhani anatafuta msosi lol!

Hahahahaha!!!! Yaani leo kwa furaha niliyonayo naweza muota kweli halafu nikachezea kichapo maana nitakavyolitamka Aaasshhhleeeeyyy 😀😀😀 .......si unajua tena ndoto ni mawazo?
 
Last edited by a moderator:
Aisee magoli kama haya ya lala salama katika mechi ambayo mlikuwa mnategemea mnashinda na dakika zinayoyoma huku mkijua itakuwa ni draw mkipata goli huwa tamu sana na ushangiliaji wake si wa kawaida. Maana hapa nawaona wacheza wa MANU utadhani wamechukua ubingwa wa EPL lol!
 

Itakuwa ni all-weather pitch then.
 
Mshukuruni Mungu sana maana leo mngetoa draw tungekuwa mbele kwa 3 points tungetia timu hapa ya nguvu sana Mbu angekuwepo, Wacha1 angekuwepo, rubaman angekuwepo, nifah angekuwepo na wana gunners wote wangeshuka hapa kuwaongezea donge lenu.

Ndiyo jambo la msingi...sipati picha jinsi wakaanga sumu wangevyojaa humu kama tungedroo...
 
Last edited by a moderator:
Jonás Manuel Gutiérrez karudi kucheza mpita baada ya kufanyiwa operesheni ya cancer.

Alikuwa na testicular cancer. He had experienced pain in his testicles following a collision in a match against Arsenal in 2013.

Following inflammation of the area and several misdiagnoses, he went for an ultrasound scan where a tumour was discovered.

Jonas Gutierrez reveals a Bacary Sagna foul prompted scan to uncover cancerous tumour | Daily Mail Online

Baada ya kuwa diagnosed Alan Pardew told him to look for a new club. Good to see him back in Newcastle United kit.



Baada ya tackle ya Sagna iliyomfanya kugundua kuwa alikuwa na cancer.
 
Thanks for sharing this info Mkuu EMT, I had no idea that he was suffering from testicular cancer.
 
Last edited by a moderator:
Tunasubiri hadi dakika ya 90 kwa Newcastle?
Week ijayo na Totenham then mtakuja.kwa Majogoo then mtacheza na Arsenal;Chelsea na Everton

Mechi hizi zilizofuatana hata kocha wenu LVG anajua hamtapata matokeo mazuri
 
Naona vijana wanafurahi ushindi wa kindondokela kwa mara nyingine tena. Nimesoma report ya mechi inasema Dada Maria bado adhihirisha kuwa Real Madrid ni watoto wa mjini kwa kuuzia watu "kanyaboya". Inaelekea mioyo ilikuwa inakaribia kuchomoka kwa presha na hofu ya kudondoka toka top 4 . Anyway, shangilieni kwa just another few weeks Liverpool wanakuja kuchukuwa nafasi ya 4, then mtagombania Europa League spots vs kina Spurs na Saints .

PS- Kama nilivyosema awali, midweeks games nitaendelea kuzikosa. Nitakuwa nakuja kusoma jinsi #wakaangasumu na #mburukenge mnavyochonga. Viva Arsenal.
DonDonald, Nzi, Malafyale, Belo, Mbu, BAK, RRONDO,Pazi
 
tia maji tia maji watani mmeshinda jana tena kwa goli la zawadi

Goli la zawadi kwanini msipewe na ninyi mkawa nayo meeeengii!!! Haters bana!!! Show games tumewaachia ninyi kwasasa nothing more important than only 3 points tia maji tia maji ndo tunavuka hivyooo mtatukuta ng'ambo ya pili mtabaki mnashangaa wamevukaje hawa?
 

mnavuka mnaenda wapi kwani..aha nafasi ya 7...😀
 
Tunasubiri hadi dakika ya 90 kwa Newcastle?
Week ijayo na Totenham then mtakuja.kwa Majogoo then mtacheza na Arsenal;Chelsea na Everton

Mechi hizi zilizofuatana hata kocha wenu LVG anajua hamtapata matokeo mazuri

Huwa unanifurahisha Sana! Sisi tumesubiri dakika ya 90 kupata ushindi,wewe umesubiri dakika ya 94 kuachia upigwe goli! Sasa nani mwanaume? Wewe au mimi niliekwenda St James park na kuchulkua ushindi kiume?!

Maana yangu no hii,we we ulienda st James park ukachapwa 1-0, Mimi nimetoka na ushindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…