Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Labda nikuulize mkuu, wewe ni mshabiki wa timu gani?
 

kumbe unalijua hilo kwamba hamna shortcut sasa unapiga kelele ya nini? hao waliokuwa na timu nzuri na muda mrefu wa kujijenga wamefanya nini cha ajabu kwenye kwenye ligi? ili uweze kufanikiwa na kutoka pale ulipo kuna gharama yake,ile Man U iliyomaliza vibaya sana msimu uliopita na kudharaulika sana leo ipo top 4 je hiyo si hatua? au labda wewe ulitaka ifanyaje labda? iendelee kukaa kwenye ile nafasi iliyokuwa nayo isifanye juhudi zozote hata za kusajili kikosi kipya ndo useme inajijenga?,kwenye soka dakika 90 ndiyo zinaongea haijalishi nani ni nani na ana nini ndiyo maana kila siku tunaona maajabu kwenye soka timu nzuri yenye kikosi kizuri inafungwa na timu ndogo ambayo haina hata stars.
 

Kapime Malaria
 
Hahahahaha kuna watu man u kuwa na shot on target sita goli tatu inawaumaaa eeh:what:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…