Ni upuuzi kuwapanga Van Persie, Falcao, Di Maria na Januzaj kwa pamoja kwani hawa wote hawana msaada kwenye kukaba hivyo kumfanya namba 6 kuumia kukaba peke yake na Rooney kurudi nyuma zaidi kusaidia kukaba hivyo kiungo kinakosa ubunifu wa kutengeneza nafasi na kutoa mwanya kwa timu pinzani kushambulia kirahisi