Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni upuuzi kuwapanga Van Persie, Falcao, Di Maria na Januzaj kwa pamoja kwani hawa wote hawana msaada kwenye kukaba hivyo kumfanya namba 6 kuumia kukaba peke yake na Rooney kurudi nyuma zaidi kusaidia kukaba hivyo kiungo kinakosa ubunifu wa kutengeneza nafasi na kutoa mwanya kwa timu pinzani kushambulia kirahisi
 
Huyu Januzaj alipaswa kupelekwa kwa mkopo,anapoteza sana mpira
 
tim haikab uwez kuwachezesha falcao van p januzaj na di maria kwa wakat mmoja
 
Evans,smalling,falcao,januzaj wanaharibu timu

Afadhali hata Januzaj kidogo ana anafuu leo japo anapiga chenga ambazo hazina msaada kwa timu Evans ni tatizo kubwa, Falcao naye apumzishwe tu simlaumu sana mfumo nao ni tatizo hakuna watu wa kumtengenezea nafasi nzuri
 
Si umeona sub...wote RvP na Falcao wamekuwa na game mbaya, lakini anayetolewa!!!
 
Afadhali hata Januzaj kidogo ana anafuu leo japo anapiga chenga ambazo hazina msaada kwa timu Evans ni tatizo kubwa, Falcao naye apumzishwe tu simlaumu sana mfumo nao ni tatizo hakuna watu wa kumtengenezea nafasi nzuri

Zee linapigaga neno lake "philosophy" .....sioni philosophy yoyote wala mfumo wowote wa kueleweka....he need to sort some things maana duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…