Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumerudi njia kuu....kwa kushinda mfululizo team imeshajijenga kisaikolojia.
Bravo MAN UTD
 
Reactions: Nzi
Kuna watu wanaijua vizuri UTD sijui walikuwa wapi ila karibuni tena (welcome back) na muda si muda mods watarudisha wenyewe ile title 'HATUSHIKIKI'
Jukwaa limependeza sasa......
UTD oyooooo
Ila hata hao wanaokuja kuleta vijembe #WakaangaSumu wanaelewa kuwa hakuna timu iliyofanya tunachokifanya kwa sasa.....
"And we will get even better"
#GGMU
 
Reactions: Nzi
Yule aliyekuwa anaitafuta unbeaten record sasa hivi tunamkaribia yeye kuliko gape iliyopo kati yetu vs Liver.

"LooserFools fans watamoyes sana this season"
 

Attachments

  • 1418614075080.jpg
    27.3 KB · Views: 182
  • 1418614396746.jpg
    38.1 KB · Views: 170

Story yako inatufundisha nn....boya we
 
Yule aliyekuwa anaitafuta unbeaten record sasa hivi tunamkaribia yeye kuliko gape iliyopo kati yetu vs Liver.

"LooserFools fans watamoyes sana this season"



Ifikirie kwanza kuikaribia Man City ndo uje uifikirie Chelsea! Vinginevyo Utakua umelewa na Ushindi Wa mfululizo!
 
Watu wenye midomo mirefu watulie pole pole watamuelewa LVG na Manchester United yake...na nasema tena Mourinho anaiogopa MU kuliko MC, SOTON, NEWCASTLE n.k ambao walikua juu yetu ila watu walibisha sana kwa kutojitambua kwao. Mourinho anajua MU ikikaa pale juu kuiangusha ni issue nyingine....basi kuweni wapole watu wanakuja kimya kimya nyie pigeni vijembeee weee lakini jamaa anazidi kunyata
 

Cc. Ntuzu
 
Last edited by a moderator:
Ifikirie kwanza kuikaribia Man City ndo uje uifikirie Chelsea! Vinginevyo Utakua umelewa na Ushindi Wa mfululizo!

Kama wewe malengo yako katika ligi ni kuikaribia timu fulani itakuwa kuna ka ugonjwa kapo kichwani.

Kwa umbali upi huo waliopo Chelsea hadi mtu afikirie kuwakaribia tuu na sio kuwapita??
Kwa sasa labda ungesema tufikirie kuwapita City sio kuwakaribia maana kama ni kufikiria kuwakaribia City ulitaka tuwakaribie vipi??
Tupo 3rd wao wapo 2nd.✌
 

well said bro
 
Top 5 GK in the premier league :
De Gea's right hand
De Gea's left hand
De Gea's right foot
De Gea's left foot
De Gea's hair
 
Ifikirie kwanza kuikaribia Man City ndo uje uifikirie Chelsea! Vinginevyo Utakua umelewa na Ushindi Wa mfululizo!

Kumbeni hata nyinyi kuna wakati gap lilikuwa kubwa sana ilifikia mahali lingeweza kufika 20 lakini leo tunazungumzia 8 tu ya gap la mechi 2 na draw moja
 

LVG the right successor of SAF,
Today I was just watching the highlights of the game, ndipo nilipogundua kuwa LVG hakuanza na yeyote kati ya wale six signings. No Di Maria. Rojo, Shaw, Blind and even Hererra and Falcao came as a substitute when score was already 3-0.
Wachezaji wote walikuwa ni walewale ambao Moyes alikuwa nao in his time and you saw the difference.
The only difference was LVG.
We are Back and we'll get even strong.
 

Wee waache wataelewa tu mwisho wa siku. Uyu LVG anajaribu kutengeneza kikosi kipana zaidi ila watu hawalioni hilo na watakuja kushangaa tu baadae sana watu wanayoyoma tu
 
Umerudi baada ya kushinda jana? Khe khe kheee

Mkuu timu yangu hata ikipoteza game huwa nipo ndio sports hiyo kuna siku unapoteza mechi, hivyo ndivyo unakuwa bora zaidi maana unafahamu wapi unagwaya, weye endelea kushinda kila mechi matokeo yake ndio hayo MK dons kaboooooooom! Out of CL etc. Khe khe khe khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Dah siku mzee wenger akiondoka Arsenal nitalia sana maana mzee amekuwa akitukirimu vizuri sana kila msimu point 6 akitubania sana 4 tena kiulaiiniiiiii kabisa bila kujali tumepanga Timu B au Timu A mzee wawatu hana hiana anatoa tu point.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…