Yule aliyekuwa anaitafuta unbeaten record sasa hivi tunamkaribia yeye kuliko gape iliyopo kati yetu vs Liver.
"LooserFools fans watamoyes sana this season"
Magoli ya kuvizia ... ... khe he khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
The only thing David De Gea cannot save is Brendan Rodgers' job!
Kama hujui jambo uliza ufahamishwe, ... kwanza ujue ndani ya FA kuna uingereza sana (ubaguzi) ndio maana Rio ferdinand amesema ye akimaliza career yake basi anataka aingie kwenye administration.
Unaposema Man utd inabebwa huo ni ushabiki wa vijiweni. ...katika vilabu ambavyo vimekutana na adhabu zisizostahili kutoka FA basi man utd kakutana nazo nyingi sana...mpk Rio alishawahi kusema kuwa fine wanazopigwa man utd players wakifanya kosa ni kubwa tofauti na mchezaji wa timu nyingine akifanya kosa kama hilo.
Pia fahamu kuwa man utd haipendwi sana hapa uingereza kama inavyopendwa nje ya UK na hasa bara la ASIA, tofauti na vilabu kama Madrid na Barcelona ambavyo vinapendwa sana huko kwao, na hii ni kwa sababu ya FA walianzisha campaign ya 'support ur local team'..na ujue tu mji wa Manchester una team tatu kubwa unazozijua wewe ambazo ni man utd, man city na Wigan lkn timu ya wakazi wa pale wanayoishabikia miaka yote na yenye wapenzi wengi Ktk mji ule (local team) ni man city, hivyo usifikiri man city ni team ya juzi.
Arsenal mchawi wenu ni meneja wenu na sera zake ambazo mpk yule shareholder wa kirusi kazichoka. ...mara ngapi wenger anapewa pesa lkn hataki kununua wachezaji wenye majina kwa kuogopa gharama?....
Yule aliyekuwa anaitafuta unbeaten record sasa hivi tunamkaribia yeye kuliko gape iliyopo kati yetu vs Liver.
"LooserFools fans watamoyes sana this season"
Watu wenye midomo mirefu watulie pole pole watamuelewa LVG na Manchester United yake...na nasema tena Mourinho anaiogopa MU kuliko MC, SOTON, NEWCASTLE n.k ambao walikua juu yetu ila watu walibisha sana kwa kutojitambua kwao. Mourinho anajua MU ikikaa pale juu kuiangusha ni issue nyingine....basi kuweni wapole watu wanakuja kimya kimya nyie pigeni vijembeee weee lakini jamaa anazidi kunyata
Ifikirie kwanza kuikaribia Man City ndo uje uifikirie Chelsea! Vinginevyo Utakua umelewa na Ushindi Wa mfululizo!
Kama hujui jambo uliza ufahamishwe, ... kwanza ujue ndani ya FA kuna uingereza sana (ubaguzi) ndio maana Rio ferdinand amesema ye akimaliza career yake basi anataka aingie kwenye administration.
Unaposema Man utd inabebwa huo ni ushabiki wa vijiweni. ...katika vilabu ambavyo vimekutana na adhabu zisizostahili kutoka FA basi man utd kakutana nazo nyingi sana...mpk Rio alishawahi kusema kuwa fine wanazopigwa man utd players wakifanya kosa ni kubwa tofauti na mchezaji wa timu nyingine akifanya kosa kama hilo.
Pia fahamu kuwa man utd haipendwi sana hapa uingereza kama inavyopendwa nje ya UK na hasa bara la ASIA, tofauti na vilabu kama Madrid na Barcelona ambavyo vinapendwa sana huko kwao, na hii ni kwa sababu ya FA walianzisha campaign ya 'support ur local team'..na ujue tu mji wa Manchester una team tatu kubwa unazozijua wewe ambazo ni man utd, man city na Wigan lkn timu ya wakazi wa pale wanayoishabikia miaka yote na yenye wapenzi wengi Ktk mji ule (local team) ni man city, hivyo usifikiri man city ni team ya juzi.
Arsenal mchawi wenu ni meneja wenu na sera zake ambazo mpk yule shareholder wa kirusi kazichoka. ...mara ngapi wenger anapewa pesa lkn hataki kununua wachezaji wenye majina kwa kuogopa gharama?....
Ifikirie kwanza kuikaribia Man City ndo uje uifikirie Chelsea! Vinginevyo Utakua umelewa na Ushindi Wa mfululizo!
Watu wenye midomo mirefu watulie pole pole watamuelewa LVG na Manchester United yake...na nasema tena Mourinho anaiogopa MU kuliko MC, SOTON, NEWCASTLE n.k ambao walikua juu yetu ila watu walibisha sana kwa kutojitambua kwao. Mourinho anajua MU ikikaa pale juu kuiangusha ni issue nyingine....basi kuweni wapole watu wanakuja kimya kimya nyie pigeni vijembeee weee lakini jamaa anazidi kunyata
LVG the right successor of SAF,
Today I was just watching the highlights of the game, ndipo nilipogundua kuwa LVG hakuanza na yeyote kati ya wale six signings. No Di Maria. Rojo, Shaw, Blind and even Hererra and Falcao came as a substitute when score was already 3-0.
Wachezaji wote walikuwa ni walewale ambao Moyes alikuwa nao in his time and you saw the difference.
The only difference was LVG.
We are Back and we'll get even strong.
Umerudi baada ya kushinda jana? Khe khe kheee
Mkuu timu yangu hata ikipoteza game huwa nipo ndio sports hiyo kuna siku unapoteza mechi, hivyo ndivyo unakuwa bora zaidi maana unafahamu wapi unagwaya, weye endelea kushinda kila mechi matokeo yake ndio hayo MK dons kaboooooooom! Out of CL etc. Khe khe khe khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee