naona wafu mnafarijiana , utafiti unaonyesha chelsea wakifungwa ndio wanakuwa wakali zaidi kama nyuki. mfano mechi ya evartone na swan sea. Ukitaka kumfunga chelsea mvizie dk za majeruhi ili ukimfunga na refa anapuliza kipyenga cha kumaliza mpira . Lakini ukimfunga mapema mnaweza kutafutana uwanjani na msionane kabisa.