Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na dogo J. Wilson anakaribia kuingia..nadhani RvP atatolewa..
 
Naona ni muhimu kwa ajili ya his presence kuharibu moves za hawa jamaa...

Sure mtaalamu wa kuharibu haribu na anaokoa nyingi.. Japo watu hawampendi ila uwepo wake kwa pitch huwa una impact sio kimvuli
 
Nije wapi bhanaa mdudu Nzi? Weye angalia na hao Nzi wenzio nisije nikawapulizia Xpel mkaded wote lol!!! Dakika ya 70 2-1

Nilikuwa nakukumbusha tu chifu wangu..maana ulisema unangojea dk ya 60.
 
Last edited by a moderator:
LvG ana mpendelea live RvP...Falcao game yake ilikuwa poa kuliko RvP leo..
 
Matta kachoka maana kati kati pamepwaya wataanza kupatia jamaa
 
Osman anakaribia kuingia kwa Everton..dk ya 76..wanafanya two subs hapa...
 
J. Wilson ni mzuri mara milioni kuliko Welbeck...dogo atakuwa mkali sana. Anaujua mpira kulaleki..
 
*84
Manchester United *2-1 Everton

****
Tuongeze la tatu tuu niiangalie hii match kwa amani
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom