Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilivyoiona ile red card ilibaki kidogo sana kuzima TV nikalale. Yani muda uliopita nilikuwa na stress.
Bulldog nilishangaa sikukuona humu ila yule mshika kibendera kweli ningeupunguza mfuko apate japo kreti ya bia
 
Last edited by a moderator:
tunakutana na etoo?

Jumapili hiyo tena muda wa Lunch daah..!! Ila zile ndoto za Moyes alizozitimiza msimu uliopita naimani zitarudi kuwa ndoto kama ilivyokuwa kabla yake..!!

Tuufute uteja na ninaimani tunaumaliza msimu juu yao na dua zangu ni waanze kuchezea wino mwekundu (bottom)
 
Kitu kimoja tu kimenifurahisha leo. Vijana wamekaza.
Hii ndio siri ya UNITED miaka yote. Wiki iliyopita tulikubali kufungwa kirahisi sana.

Pia nafurahi kuona vijana wanapata nafasi na kukaza mwanzo mwisho.

GGMU
 
Leo....Rooney...ameboronga....na....kupelekea...timu...kucheza....kama....iko.....ugenini....
dk...30....za...mwisho.....zilikuwa...danger....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…