Now we can talk. Hummels na mabeki wa maana wanahitajika.
Walivyokuja Falcao na Di Maria mlijisahau mkadhani watadefend.
Tulifurahi kwasababu tulihitaji wachezaji wenye goal ratio kubwa. Welbeck, Chicharito walikuwa kama wanabahatisha.
Ukipata maumivu ya kichwa, TUMIA HEDEX!
Pole sana "MBURUKENGE" WOTE.
Bado Dada Maria na Fokolao wataisaidia M: disunited isishuke daraja. Bado ni mwanzo wa Ligi, Nzi na Mende msikate tamaa.
Bulldog anabweka kama "mbwa koko"! Next game, man! Man-up!
Hongera kwa mshindi."vijamaa nomaa"
Wengine hupenda kujenga timu kuanzia nyuma kwenda mbele not vice versa.
Hilo mbona lipo wazi...CB 1 anahitajika...ndio maana Hummels yupo kwenye rada..
Now we can talk. Hummels na mabeki wa maana wanahitajika.
Hilo mbona lipo wazi...CB 1 anahitajika...ndio maana Hummels yupo kwenye rada..
Hizo ni tactics mkuu
Nitajie team yako nije kukubwekea kwa nyuma siku utakayocheza.
It is interesting for a manager to spend all that amount of money without bringing in a top defender wakati anajua wazi kuwa beki wake kama Rafael ni mayai.
Leicester ambayo imekubwekeeni kwa mbele na kwa nyuma leo.
.... ubingwa hatuna mpango nao saaaana ila lazima tubebe ndoo moja ndani ya msimu huu tulianza na ya USA....