Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa Blind tumepata mchezaji...jamaa ana akili ya mpira balaa...na ametulia hana paparq hata nukta...
 
Haki ya mama tukimpata mtu kama Hummels au CB dizaini yake...tutakuwa tupo kamili gado kuliko maelezo....


Hawa wanataka kusababisha tuwe na goal difference ndogo. Sina amani kabisa mpira ukiwa kwetu
 
Mechi Tottenham na WBA nayo speed yake si ya kawaida. Mashambulizi ya nguvu kila upande.

Dah! #MkaangaSumu wewe una husda...siye hatuna habari na hiyo game...Spurs si watani zenu, peleka habari kule kwa goons...😎😎😎😎
 
Khe Khe Khe Khe Khe timu ya kata yapata goli la pili 2-3
 
Back
Top Bottom