What else can i say,full happy
Cc;kwa wakaanga sumu wote
I am always available,ukiona kimya ujue majukumu tu na mkoloni wangu wananibana ila am always available
LoL! #Mburukenge wote leo mliokuwa mafichoni kutokana na poor performance of your team leo mmeshuka jamvini na mnachonga kupita kiasi utadhani mmechukua ubingwa wa EPL kwi kwi kwi kwi
What else can i say,full happy
Cc;kwa wakaanga sumu wote
nilisema tutaheshimiana tu mwaka huu.....ANDER HERRERA ni balaa,sasa tuna scoring midfielder....DALEY BLIND ni kama alikuwepo kwenye hii timu misimu mitano....ROJO[say ROHO] huyu hata alikuwa humuoni uwanjani maanke hana mistake yoyote na yeye utafikiri alikuwepo premier league misimu mitano iliopita.....DI MARIA im speechless tulichokikosa kwa Ronaldo alivyoondoka nakiona kwa DI MARIA.....Falcao ana kazi rahisi sana kumalizia pasi za DI MARIA kama alivyofanya JUAN MATA leo....ROONEY business as usual....VAN PERSIE asije kulaumu mtu kwa mpira huu lazima ainue kiwango chake otherwise benchi linamuhusu.....
kwa kweli si ushindi tu ulionifurahisha ni ile perfomance,timu ndani ya wiki mbili ishajengeka 'diamond' pale katikati inavyofunguka na kufunga ni balaa yaani utafikiri walikuwa wanafanya mazoezi pamoja kwa mwaka mzima.....
najua #WakaangaSumu watasema its just QPR lakini hizi ndio timu ambazo kama timu yako ni nzuri unapiga goli si chini ya tatu na tumewapiga nne pengine zingekuwa hata 8 kama tusingetoa mguu kwenye gas!!!!!!!!
cc: Ntuzu agosti 8 rubaman MosDef Mndengereko DonDonald Belo Nzi pierre fm
Leo kipofu kaona mwezi!" kumfunga QPR ndio kama mmeshachukua ubingwa vile ............. mechi y QPR haina utofauti na zile mechi za pre-season kw hiyo msivimbe vichwa
Grand PA
LoL! #Mburukenge wote leo mliokuwa mafichoni kutokana na poor performance of your team leo mmeshuka jamvini na mnachonga kupita kiasi utadhani mmechukua ubingwa wa EPL kwi kwi kwi kwi
Acha hizo wewe as long as wako kwenye ligi si wadogo hao!! Mbona Leicester walipotufunga mlisema sana kwamba tunafungwa na kitimu kidogo kama ile. Mwendo mdundo ndo safari imeanza hivyo,haters mjipangeeee!!!
Daley Blind shujaa kwa miaka mingi ijayooo
khe khe khe khe khe khe khe.......
Sure mkuu,evans ana makosa madogodogo meng sana. Ambayo yanakera mno,na jones nae majeruh hayamwishi kila baada ya mwezi, 4 sure tunahtaj kuongeza cb.