Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Hiyo ya Welbeck nimeisikia kwenye Monday night wameiongelea yupo anachukua vipimo Arsenal
Wawaunganishe na mizigo mengine yote
Hiyo ya Welbeck nimeisikia kwenye Monday night wameiongelea yupo anachukua vipimo Arsenal
haiumi hata,maana hamtukuti huu msimu yaani kama umeisha vile
. mkuu kwa Falcao Nimekubali jamaa mpira wake kwenye timu zote timu yenye kumdondoshea mpira wa juu na kutoka pembeni ni anazimaliza na Man U kwa Hilo inamfaa ni Kama Van Nisto! Ila bado nashangaa Welbeck why United wa namuachia na vipi Arsenal mashabiki hawamtaki ni mchezaji Mzuri tu ila kwa Falcao heshima.Bad News kwenu
Ajax wame confirm Issue ya Daley Blind ni done deal ..... kwa maana nyingine ni mchezaji halali wa Man Utd
Haya masaa matatu yaliyobakia kabla ya dirisha la usajili kufungwa "Watch This Space"
Mtachukia sana kitakachofanywa na Timu Kubwa Utd
mkuu kwa Falcao Nimekubali jamaa mpira wake kwenye timu zote timu yenye kumdondoshea mpira wa juu na kutoka pembeni ni anazimaliza na Man U kwa Hilo inamfaa ni Kama Van Nisto! Ila bado nashangaa Welbeck why United wa namuachia na vipi Arsenal mashabiki hawamtaki ni mchezaji Mzuri tu ila kwa Falcao heshima.
Nigel De Jong ▪️▪️▪️loading.........
Na huyu yuko njiani?
Mtunza pochi kamfuata