Mkuu
Nzi nimeangalia mechi yote ni kweli Van Gal anatakiwa kusajili wachezaji wa kiwango cha juu kabisa kwanza defence ni kichekesho,pili kiungo ni lazima tatu mfumo wake wa 3 4 1 2 sidhani kama utaleta matunda yanayokusudiwa.
Kwanza lazima LVG asajili defender wa kiwango cha kimataifa (experience) CB leo nimeona defence ikicheza hovyo utadhani wapo mashindano ya umiseta.Kama atapenda kushindana na timu imara au atapenda kuingia top 4 lazima asajili mabeki wawili mmoja kati na mwingine baki 3.
Lazima asajili kiungo wa kati hili tatizo aliliacha Fergie bado mpaka leo Man haina mchezaji muhimu wa kati.
Mfumo anaotumua LVG si sahihi katika ligi ya uk.