Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Chifu, nilimsikia LvG akisema kuwa anatumia mfumo huo kwa sababu hana wachezaji katika nafasi zinazopwaya, hivyo imemlazimu kutumia mfumo huo..
 
Last edited by a moderator:
Top of the EPL table for few hours only.

Leo yatapigwa majungu mengi mno humu ndani...!! Waacheni Swansea nao waandike historia sio tuu ya kutufunga opening match ila ya kuwa top of the league...

#WMUTW
 
Mkuu Nzi ni sawa kabisa pamoja na kufungwa kuna vitu vichahe vimebadilika ila lazima asajili wachezaji wa 3 kama atataka kuingia top 4.

Chifu, nilimsikia LvG akisema kuwa anatumia mfumo huo kwa sababu hana wachezaji katika nafasi zinazopwaya, hivyo imemlazimu kutumia mfumo huo..
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Nzi
Mkuu EMT hebu acha hizo banaaa!!!! Mapicha yako yananivunja mbavu lol!! Hahahahahaha
 
Last edited by a moderator:
Wewe EMT hueleweki kama moto ama baridi...ebu jifafanue ili ujulikane.
 
Last edited by a moderator:
Dah!!!! 42 years record was broken today.....It was also the first time that United had lost at home on the opening day of the season since 1972 when they were beaten 3-2 by Ipswich.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…