Heko zako kwa kuwa True Die hard. Nadhani kuna mtu alipulizia dawa ya kufukuza
Nzi humu ndani since last season.
Wapi
Belo, Prondo, Mndengereko, DonDonald, Bulldog, chris Mushendwa na
#TeamManchester United wengine? Huu ndo muda wa kuonyesha mapenzi ya dhati kwa timu yenu kama
#TeamArsenal na
#TeamLiverpool tunavyofanya.