GM will recall the jerseys after few defeats like they recall the cars. Mkifungwa mechi kadhaa muwapeleke GM mahakamani kama wateja wa magari yao wanavyofanya Marekani. Ebana naona NIKE wanataka kuwakimbia, kuna uwezekano FUBU watapata deal la kuwatengenezea uzi baada ya NIKE.
Soccer-Nike to end kit supply deal with Man Utd - source | Reuters
Bahati mbaya bado sijamkubali De Gea kama kipa mzuri bado. Ana mapungufu mengi sana. Man U kama inataka ushindani wa kweli kwenye ligi, basi watafute na golikeeper.Tiba
Mbona nyie NIKE wamewakimbia mmeangukia kwa PUMA,Adidas design ya jezi zao ni nzuri kuliko NIKE i hope watapata hilo dili
BBC Sport - Man Utd: Adidas, Nike and Warrior bid for world-record deal
Don't worry.......Valdez is on the way
Arsenal hawakukimbiwa Nike walishindwa dau na Puma.
Nini nataka kusema kwamba tusije tukaexpect too high kwa mafanikio ambayo kocha ameyapata mpaka sasa kupitia timu ya taifa na baadae inaweza kua tofauti sana kwani ni mazingira mawili tofauti tukaja kushikana mashati kutokana na sababu chache ambazo mie binafsi nimeziona na kuzielezea hapo juu ingawa tunategemea atafanya vizuri kwa imani hiyo#
Chifu, naomba nikuulize maswali: ulikuwa unamfahamu LvG kabla ya kombe hili la dunia? Unayafahamu mafanikio yake kama kocha?
Don't worry.......Valdez is on the way
ki uhalisia kuna watu wengi walikuwa hawamjui van gaal kabla ya hili kombe.
Kuna tetesi kwamba Di Maria yuko kwenye hati hati ya kujiunga na Man U. Hii deal ikipita Man U watakuwa wameokota bingo kwani jamaa ni mzuri kupita kiasi.
Tiba
Kuna tetesi kwamba Di Maria yuko kwenye hati hati ya kujiunga na Man U. Hii deal ikipita Man U watakuwa wameokota bingo kwani jamaa ni mzuri kupita kiasi.
Tiba
Ni kweli mkuu nasikia ameamua kuwatolea nje lakini Real Madrid wanataka aje Man U badala ya kwenda PSG. Ngoja tusubiri tuone mwisho wake utakuwa vipi.
Tiba
Kuchezea Champions League muhimu for top players.
Halafu hivi ameacha ku-dive?
Maana alikuwa ananiboa sana na anguka anguka yake.