Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Sawa bingwa wa Januari..
 

Mkuu punguza wasiwasi..... Tatizo sio kipindi cha Moyes tuliwahi kufunga goli 4.... tunachokiangalia hapa {ndio maana EPL Inatetemeka leo} ni namna tunavyo shinda.

Si unaona vijana wanavyosukuma mtanange leo?
 
Mkuu heshima yake tulishampa mbona...
Eti moyes kwa miezi tisa aliyokaa united amebeba makombe mengi zaidi ya wenger aliyekaa miaka tisa arsenal.
 
Hii timu kunyanyuka tena itegemee huruma za Muumba tu. Wamevunja miiko muhimu sana walio jiwekea kwa miaka mingi.

Sasa kitakacho fuata ni spend spend kadri uwezavyo.

Hakuna kocha atakae ingia akakubali kutumia academy players tena,kutumia academy players itakua ni sawa na kujinunulia ticket ya ONE WAY TO HELL.

Mchakato wa kuwapa bullets makocha hapo Old Trafford ndiyo umeanza huo baada ya misimu kama kumi tutazoea kuona hizo bullets.
 
Mkuu punguza wasiwasi..... Tatizo sio kipindi cha Moyes tuliwahi kufunga goli 4.... tunachokiangalia hapa {ndio maana EPL Inatetemeka leo} ni namna tunavyo shinda.

Si unaona vijana wanavyosukuma mtanange leo?



Mkuu heshima yake tulishampa mbona...
Eti moyes kwa miezi tisa aliyokaa united amebeba makombe mengi zaidi ya wenger aliyekaa miaka tisa arsenal.

Mngekuwa wafuatiliaji wazuri mngelitambua hili...kwamba DAUD game yake ya kwanza EPL tarehe 17/8/2013 dhidi ya Swansea City aliwatungua goli 4-1, mkampongeza sana...!! Hatujasahau. Naona same way kwa Interim Coach, atamfuata MUSA historia haidanganyi ndio maana nasema YOU HAVE a long way to climb. Nzi
 
Last edited by a moderator:
Norwich washajichokea sasa hivi wanafikiria dressing room na BASI la kuwarudisha nyumbani wakacheze VIDEO GAMES wajiandae na CHAMPIONSHIP NEXT SEASON
 

Mnafurahisha sana wakaanga sumu...
 
Last edited by a moderator:

Umechokoza Nyuki!
 
Mkuu heshima yake tulishampa mbona...
Eti moyes kwa miezi tisa aliyokaa united amebeba makombe mengi zaidi ya wenger aliyekaa miaka tisa arsenal.

Thibitisha kauli yako plz..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…