Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Some see this coming, watu wakadai eti kuna the so called "United Way".
Kwamba hawafukuzi makocha kama klabu nyingine.
Hata Liverpool walikuwa na so called "Liverpool Way" lakini wakaiacha long time ago.
Kwa kipindi kiki ambacho soka limekuwa la kibiashara zaidi, only results on the pitch matter, not the club's traditions.
Just imagine katika msimu huu tuu nusu ya klabu za Premiership zimebadilisha makocha.
Now tell me what is so special with Man Utd wasimtimue kocha ambaye anaipeleka timu down badala ya juu?
Mie naona tena wamechelewa sana kumtimua jamaa; have they done earlier labda bado wangekuwa kwenye Champions League semi finals.
Bado Wenger!