.....hahahaha, Wakibugi hiyo stepu imekula kwao!
wachezaji walikuwa hawamtaki kocha,thats it i can clearly see ittatizo ManU hawajitumi/hawakabi kabisa wakipoteza mipira na wawapo uwanjani.........ukiangalia timu kama Liverpool, ManCity, Barcelona, Bayern Munich....yaani wanajituma sana wawapo uwanjani......
hujui unachokiongea ferguson mbona hakutumuliwa?? hivi unahisi kwa utajiri wa man u kunaowner wowote zaidi ya hawa glazer ambao wangeweza kumpa muda wote huo moyes wa kukaa ot kwa miezi 111 na marekodi yote hayo aliyavunjaDah Noma kashatimuliwa.... Very unjust for football. Ndo tatizo la timu kuendeshwa na Wamarekani hawajui soka linavyokwenda. Haya atakayekuja naye atapewa maximum 2 yrs.Cry for Moyes
pole sana stupid one ashafukuzwa and we are happy for that. wera wera wera weraaaa weraaaa
Dah!!!..nlikuwa naomba akae hata msimu mmoja zaid huyo Moyes..
Nzi mwenyewe uvumilivu ulimshinda baada ya mechi ya everton hapa man u fans wote tunafurahia ambae afurahii nahisi ni fergie peke yakeNadhani atakayekuwa na hudhuni ya hii news ni Nzi pekee na maybe Belo. Kuanzia leo Moyes Out Brigade kina DonDonald, Mndengereko nk watamwaga party hapa kushangilia maamuzi ya Glazers. Anyway najua Big Sam atachukuwa timu maana uwezo wake ni mkubwa kuliko kina Klopp, Van Gaal waliotajwa pia ni Mbritish mwenzao.
#hireBigSam
wachezaji walikuwa hawamtaki kocha,thats it i can clearly see it
ha ha ha ha! ili tuendelee kupigwa?
Dah!!!..nlikuwa naomba akae hata msimu mmoja zaid huyo Moyes..
mkuu hapa umeniangusah sana kwa comment yako hii yaani unalaumu manu kumfukuza moyes favour gani kubwa apewe zaidi ya kukaa miezi yote 11 hiyo ambayo hakustahil? so far ashkuru mungu kwa kukaa miezi yote hiyo na kuiharibu timu stupid one...Yaani ule mkataba wa miaka sita ilikuwa ni upuuzi tu?
aaah kiongozi, usinambie hujui maana ya contract.
Sir Fergie kumpendekeza Moyes awe mrithi wake tayari alishaona mbali kwamba
Man U inahitaji LongTerm Manager...
Kama angeona Ryan Giggs anafaa, angempendekeza...au Aspiring manager mwingine yeyote.
Tatizo letu sie New Generation tumeweka mbele Vikombe tuuu, sijui bingwa wa EPL, sijui CL...tunasahau
hizi team zina traditions zao,.....Man United since 1902, ndani ya Old Trafford tangu 1910, leo hii mnawauzia GLAZER family wanaua tradition...
Mtamkumbuka #SirFergie na mrithi wake aka #TheChoosenOne....
Hawa Man United dhambi hii ya kumfukuza Manager itaendelea kuwatafuna
kama Chelsea inavyowatafuna pamoja na mafanikio waliyokuwa nayo...
Fergie aliwaapa wosia, "SUPPORT YOUR MANAGER!'.....mtamkumbuka,
#MburukengeNyie !....:suspicious:
...Yaani ule mkataba wa miaka sita ilikuwa ni upuuzi tu?
aaah kiongozi, usinambie hujui maana ya contract.
Sir Fergie kumpendekeza Moyes awe mrithi wake tayari alishaona mbali kwamba
Man U inahitaji LongTerm Manager...
Kama angeona Ryan Giggs anafaa, angempendekeza...au Aspiring manager mwingine yeyote.
Tatizo letu sie New Generation tumeweka mbele Vikombe tuuu, sijui bingwa wa EPL, sijui CL...tunasahau
hizi team zina traditions zao,.....Man United since 1902, ndani ya Old Trafford tangu 1910, leo hii mnawauzia GLAZER family wanaua tradition...
Mtamkumbuka #SirFergie na mrithi wake aka #TheChoosenOne....
Hawa Man United dhambi hii ya kumfukuza Manager itaendelea kuwatafuna
kama Chelsea inavyowatafuna pamoja na mafanikio waliyokuwa nayo...
Fergie aliwaapa wosia, "SUPPORT YOUR MANAGER!'.....mtamkumbuka,
#MburukengeNyie !....:suspicious:
Sahiv suala lililobaki ni kuwavunja moyo Tu, manake MZUNGU wetu MOYES kushatimuliwa Aisee!!!
Asa kila kocha mtakaye mtaja hapa, siye tutakuwa tunamwaga tu weakness zake!!!!
Hahahaha!!!!!
mkuu hapa umeniangusah sana kwa comment yako hii yaani unalaumu manu kumfukuza moyes favour gani kubwa apewe zaidi ya kukaa miezi yote 11 hiyo ambayo hakustahil? so far ashkuru mungu kwa kukaa miezi yote hiyo na kuiharibu timu stupid one
msimu mmoja bila trophy kwetu ni mrefu sana....nyinyi na arsenal ndio mnaweza kuvumilia failures kama hizi.
ahsante mkuu kwa kuwa honest mi nashindwa kuwaelewa watu wengine wanaosema eti man u hawajafanya poa kumtimua moyes eti dhambi ya timua timua itatutafuna yaani siwaelewi wanafikira kwa kutumia nini yaani favour yote aliyopewa moyes ya kukaa miezi 11 bado hajatosheka ?Poleni sn Wakuu! Lkn mmechelewa sn kumtimua maana kawaingiza kwenye hasara kubwa ya kifedha na kisoka pia!
Van Gaal Yule Mzee anafaa sn Kuisaidia timu yenu kuliko huyo Big Sam!
bahati nzuri wanaochagua kocha hawasomi jamiiforums.
pole sana ndo kasahtimuliwa hivyoDah!!!..nlikuwa naomba akae hata msimu mmoja zaid huyo Moyes..
klopp na Simeone, ishaonekana haiwezekani Tayar!!!
Kwahyo nahisi ni Van Gaal Tu, ndo kuna uwezekano huko!!!
sina shaka na Van Gaal!!!!
hahahahah!!!!
Bado una safar ndefu ya kurudi kwenye msitari tena..
Liverpool sacked Hodgson ndan ya msimu mmoja tu, akaja Daglish naye akatimuliwa ndan ya msim mmoja Tu japokuwa alituachia kikombe cha chai cha League cup!!!!!!